Tuwaze mrejereo: Hivi DP World ingeletwa na Magufuli ingepingwa?

Tuwaze mrejereo: Hivi DP World ingeletwa na Magufuli ingepingwa?

Sikuona tatizo kiivo Kwa sababu Aliyekua Anaongoza alikua ni mtu wa Mungu na Mwenye Akili kiwango cha juu.

Ndio maana licha ya Kua na Bunge hili, Bado Nchi ilikwenda vizuri!!.

Katika suala la Kulinda Mali asili za Nchi, Embu Tumpe Hayati JPM Maua yake
Hila la akili cha kiwango cha juu na kumcha Mungu nakupa [emoji817] Magufuli alifanikiwa kwasababu alisaidiwa na Mungu baasi!
 
Yeah angepingwa mbona alipingwa vingi tu anzia madaraja,bwawa la umeme,ununuzi wa ndege
 
Kwanza rekebisha uelewa wako. Bandari zote za Tanganyika zimenyakuliwa bila malipo. Hazijauzwa bali zimekabidhiwa kwa mwarabu milele bila ukomo.

Pili, acha kuwaandama wafu. Magufuli alishafariki siku nyingi. Usitake kumbambikia uchafu wako wa mikataba ya kitapeli.
Mwarabu asingethubutu kumsogelea magufuli, ndio maana kaja sasahivi
 
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Magufuli ndiye chanzo cha kutafutwa DPW, alikwenda Kigali mwaka 2015 na akafanya mkutano na Kagame kuhusu uwekezaji.

Kagame akaanza kujenga dry port kubwa kule Kigali ili mzigo wa DP uweze kuhifadhiwa kabla haujasafirishwa na SGR kuja Dar.

Bahati mbaya 2021 Magufuli akaaga dunia lakini alishaweka mazingira mazuri ya uwekezaji kule Kigali, njiani kupitia SGR na bandari kwa kuboresha ili kazi iwe rahisi.

Hizi siasa ni zile zile za wakati wa ujenzi wa Stieglers Gorge miaka michache iliyopita, ni vita ya wenye wivu wanaochukizwa kuiona Tanzania ikiwa vizuri kijiografia na sasa kiuwekezaji.

Wanao mawakala wao humu humu miongoni mwetu, lakini nia ni njema na watashindwa tu.
 
Viroba kule baharini vingeokotwa vingi kweli kweli,
Nanukuu,
"Ebu tafakari unalima shamba lako halafu inatokea nyoka inakuzuia usilime,dawa yake ni kuiponda kichwa halafu uendelee kulima".
Hiyo nukuu yako unaionaje
 
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Mbona tulimpinga kuhusu Usukuma,Ukanda,Ukabila,Udikteta,Wizi,na Sifa za kijinga jinga na kuifanya Chato kuwa Ikulu.
 
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Ishu ni mkataba wa kimangungo hta unheletwa na Nyerere ni ufisadi tuu
 
ukiangalia kwa jicho la ndani watu wengi hata hawapingi uwekezaji ila wanapinga waarabu au waislamu kwa sababu DP imetokea Dubai ingekuwa imetokea UK au US wala usingesikia makelele hayo. ni chuki tu za udini hakuna kitu hapo. Angekuwa ni Magu mkiristo mwenzao ndio kawakaribisha hao DP usingesikia watu wanalalamika lakini kwa sbb ni Samia imekuwa nongwa! Mungu aendelee kumlinda raisi Samia
 
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?

Wewe nae, embu pitia kwanza vedio za Magufuli kuhusu bandari ndio ulete fikla zako za abunuasi.
 
ukiangalia kwa jicho la ndani watu wengi hata hawapingi uwekezaji ila wanapinga waarabu au waislamu kwa sababu DP imetokea Dubai ingekuwa imetokea UK au US wala usingesikia makelele hayo. ni chuki tu za udini hakuna kitu hapo. Angekuwa ni Magu mkiristo mwenzao ndio kawakaribisha hao DP usingesikia watu wanalalamika lakini kwa sbb ni Samia imekuwa nongwa! Mungu aendelee kumlinda raisi Samia
Unafikilia kidini ndio maana uko hapo na umejaza ujinga kichwani. Kwa hiyo ndio kusema wanapewa milele kwa sababu ni waislamu?
 
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Isingepingwa, ila sema nini mwana, TUNGEKUJA KULIPISHWA MIHELA KAMA ILE YA JUZI
 
Kwa JPM hata kuthubutu kuwekeza katiba Bandari asingeweza.... kwa hivyo haistahiki hata ku assume!... unamkosea bure Magu....
 
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Kwenye maswala ya mikataba ya aina hii hakuwa anaitaka na ndo maana hakuleta mikataba tata
 
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.

Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?

Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Akili kubwa ile isingeileta kizembezembe
 
Back
Top Bottom