Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Hila la akili cha kiwango cha juu na kumcha Mungu nakupa [emoji817] Magufuli alifanikiwa kwasababu alisaidiwa na Mungu baasi!Sikuona tatizo kiivo Kwa sababu Aliyekua Anaongoza alikua ni mtu wa Mungu na Mwenye Akili kiwango cha juu.
Ndio maana licha ya Kua na Bunge hili, Bado Nchi ilikwenda vizuri!!.
Katika suala la Kulinda Mali asili za Nchi, Embu Tumpe Hayati JPM Maua yake