Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Shalom,
Kumezuka watumishi wa Mungu wanaotumia vibaya redio zetu badala ya kutoa neno la Mungu na kufanya maombi sasa kama utaahitaji maombi wanakulazimisha njoo ofisini aka kanssan asubuhi mapema tukuombee.
Style wanayotumia ni hii
Wanapokamata redio wanaanza andika msg, kwenda namba. Hizi msg baadae hupigiwa na kuambiwa uje kanisani mapema na sadaka kiasi fulani.
Njia ya pili
Wana kipindi cha watu kupiga simu, hapa ndipo wananchi wanakuwa wamelogwa unasikia unaitwa Shemdoe Mwakyasindile, anajibu mtu ndio ushawahi kuonana na mimi unasikia hapana. Una tatizzo la ndoa /uchumi/kulogwa hizi ndo mada muhimu.
Sasa anapoongea na simu we mgeni unashangaa amejuaje jina lake na mzazi, amejuaje ana shida ya ndoa ama uchumi na hivi punde wamekuja na nguvu za kiume na kwa mwanamke shida ya uzazi.
Mwisho utasikia anamwambia mpiga simu wahi mapema asbh shuka kituo piga simu kule hamna bure wala usipoteze mda ukifika kama huna mzigo unarudi ulipotoka.
Kifupi tumwamini Mungu wapendwa tusome neno hakuna maombi yanayohitaji pesa unapobarikiwa amaa kufanikiwa ruksa kutoa shukrani na sio kulazimisha watu watoe pesa muombewe.
Mtwakwisha wanaongeza magari majumba yao na maviwanja mnaishia kuwa masikini.
As salaam aleikum
Kumezuka watumishi wa Mungu wanaotumia vibaya redio zetu badala ya kutoa neno la Mungu na kufanya maombi sasa kama utaahitaji maombi wanakulazimisha njoo ofisini aka kanssan asubuhi mapema tukuombee.
Style wanayotumia ni hii
Wanapokamata redio wanaanza andika msg, kwenda namba. Hizi msg baadae hupigiwa na kuambiwa uje kanisani mapema na sadaka kiasi fulani.
Njia ya pili
Wana kipindi cha watu kupiga simu, hapa ndipo wananchi wanakuwa wamelogwa unasikia unaitwa Shemdoe Mwakyasindile, anajibu mtu ndio ushawahi kuonana na mimi unasikia hapana. Una tatizzo la ndoa /uchumi/kulogwa hizi ndo mada muhimu.
Sasa anapoongea na simu we mgeni unashangaa amejuaje jina lake na mzazi, amejuaje ana shida ya ndoa ama uchumi na hivi punde wamekuja na nguvu za kiume na kwa mwanamke shida ya uzazi.
Mwisho utasikia anamwambia mpiga simu wahi mapema asbh shuka kituo piga simu kule hamna bure wala usipoteze mda ukifika kama huna mzigo unarudi ulipotoka.
Kifupi tumwamini Mungu wapendwa tusome neno hakuna maombi yanayohitaji pesa unapobarikiwa amaa kufanikiwa ruksa kutoa shukrani na sio kulazimisha watu watoe pesa muombewe.
Mtwakwisha wanaongeza magari majumba yao na maviwanja mnaishia kuwa masikini.
As salaam aleikum