Tuwe makini na pombe, zinaua

Gongo ya vijijini ni salama kuliko gongo hizi za kisasa. Gongo za kisasa nyingi zimeundwa na wahuni vichochoroni. Ukiona label ya Hennesy unajua bonge la gongo kumbe sumu.
 
Taifa halikutegemei, bali wewe ndiye unayelitegemea.

Kiuhalisia wanaokutegemea wewe ni wale wanaopata riziki kutoka kwako, yaani mkeo, watoto ima wazazi wako.

Maneno hayo ya kutegemewa na taifa, tukiwa vijana yalitutia viburi vya kijinga sana.

Lakini kiuhalisia taifa ndiyo tunalolitegemea, sababu ukifa ama kufukuzwa kazi hata leo, taifa haliwezi kujua kuwa lina msiba ama limepungukiwa na kitu.
 
...'Mjane mnono sana'.
 
Mkuu ninaposema hivyo simaanishi bila mimi Taifa halisongi bali linaweza kunitumia katika nyanja tofauti
by the way upo sahihi ulichosema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ