Tuwe makini na pombe, zinaua

Tuwe makini na pombe, zinaua

Bora pumziko la milele kuliko mahangaiko na maumivu yasiyoisha mwache mwamba apumzike Kwa Amani.
Jamaa last time nilikutana nae anachoma Mbuzi kwa ajili ya Mwaka mpya kumbe ndio ilikua anafanya sherehe yake ya mwisho kuishi duniani baada ya Mwaka mpya siku ya pili alilamba udongo moja kwa moja mpaka leo amepiga usingizi wa moja kwa moja sasa hivi mchwa watakua wameshamaliza kazi yao
 
Wasaalam, mnamo mwaka jana X Mass nilikunywa sana mpaka ikanipelekea kupata ulcers hivyo 25/12 na 1/1 ziinikuta kitandani naugumia maumivu nikajiapiza naachana na mipombe kali. Lakini nilivyopata nafuuu nikarudi tena.

Mwaka huu juzi 25/12 na 1/1 nazenyewe nimezilia kitandani the same case kama mwaka uliopita lakini nilipopata nafuuu nikaendelea tena.

Ila kilichonitisha juzi kati kaja balozi wa mtaa anachangisha rambirambi, nikatoa ila sikumuuliza chanzo cha kifo baadae niko kijiweni ndo washikaji wanasema huyu mtu alikufa kwa sababu ya pombe kali hawajamalizia hiyo story napewa taarifa mshikaji kuna mwingine tena huyu nimewahi kunywa nae mtaani kwangu kwa zamani naambiwa na yeye amekata moto kwa sababu ya vikali. Wakuu nimeogopa yaani bapa lote nilokunywa lilikata.

Kwa moyo wa dhati mi nimeamua kupunguza hii mikali japo bia siziwezi ila napunguza hii mikali taifa bado linanitegemea.

Na nyie nawaasa kama unapenda mikali hakikisha unakula vizuri japo hata huyo aliyekata moto alikuwa vizuri kiuchumi na hela ya kula hawezi kosa lakini ndo hivyo tena.
Kuna mwamba alikuwa anaitwa Tumaini,
Mshkaji sana alikuwa police, na yeye alivuta na yeye, pombe kali + ulcers, ana mwezi tu sasa toka arudishe mpira kwa Mungu.

Ukiwa na ulcers pombe kali ni ticket yako ya akhera.
Hata hivyo tusiogope kutangulia, tuyatwange mapombe, kufa kupo tu wakuu
 
Jamaa last time nilikutana nae anachoma Mbuzi kwa ajili ya Mwaka mpya kumbe ndio ilikua anafanya sherehe yake ya mwisho kuishi duniani baada ya Mwaka mpya siku ya pili alilamba udongo moja kwa moja mpaka leo amepiga usingizi wa moja kwa moja sasa hivi mchwa watakua wameshamaliza kazi yao
Funza ndo wanatusubiri kwa tunaozikana. Wale wanaochomana hili haliwahusu.
 
Too much of anything is harmful pombe ni kama dawa tu ukinywa bila kiasi inakua sumu... ikiwezekana acha kabisa...imagine mtu yupo kwenye 20'S anakunywa pombe kama maji huyu mtu akifika 50+ atakua na hali gani
Kabisa, lakini kuna hatua inafika unatamani kuacha uwe kama watu wengine ila unashindwa
hili ni pepo
 
Ukiweza acha kabisa,tutakupoteza very soon,hiyo hatua uliofikia kinachofuata iko siku utatapika damu au kupata choo chenye damu kitu ambacho ni hatari sana...
Mkuu mpaka naandika haya yaani nimeshaingiwa uwoga kuacha kabisa ndo lengo, ila naanza kwa kupunguza na kuvikataa vijiwe kabisa
 
Wasaalam, mnamo mwaka jana X Mass nilikunywa sana mpaka ikanipelekea kupata ulcers hivyo 25/12 na 1/1 ziinikuta kitandani naugumia maumivu nikajiapiza naachana na mipombe kali. Lakini nilivyopata nafuuu nikarudi tena.

Mwaka huu juzi 25/12 na 1/1 nazenyewe nimezilia kitandani the same case kama mwaka uliopita lakini nilipopata nafuuu nikaendelea tena.

Ila kilichonitisha juzi kati kaja balozi wa mtaa anachangisha rambirambi, nikatoa ila sikumuuliza chanzo cha kifo baadae niko kijiweni ndo washikaji wanasema huyu mtu alikufa kwa sababu ya pombe kali hawajamalizia hiyo story napewa taarifa mshikaji kuna mwingine tena huyu nimewahi kunywa nae mtaani kwangu kwa zamani naambiwa na yeye amekata moto kwa sababu ya vikali. Wakuu nimeogopa yaani bapa lote nilokunywa lilikata.

Kwa moyo wa dhati mi nimeamua kupunguza hii mikali japo bia siziwezi ila napunguza hii mikali taifa bado linanitegemea.

Na nyie nawaasa kama unapenda mikali hakikisha unakula vizuri japo hata huyo aliyekata moto alikuwa vizuri kiuchumi na hela ya kula hawezi kosa lakini ndo hivyo tena.
du!!!
 
Back
Top Bottom