Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
stupid kinamna gani mkuu. nielimisheYou are the stupid one, ni kawaida ya watanzania wapumbavu kama nyie kila kitu mnaona kawaida, siku taarifa zako zikivunjishwa utaona kawaida tuu hivohivo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
stupid kinamna gani mkuu. nielimisheYou are the stupid one, ni kawaida ya watanzania wapumbavu kama nyie kila kitu mnaona kawaida, siku taarifa zako zikivunjishwa utaona kawaida tuu hivohivo.
Sorry mkuu, badala ya "Janga" nimesoma "Jinga", nimesoma vibaya.stupid kinamna gani mkuu. nielimishe
hapo sawa mkuu. machale yangu yalikua kwamba umekosea kutag 😂Sorry mkuu, badala ya "Janga" nimesoma "Jinga", nimesoma vibaya.
Nimefuta na hio comment kabisa, I'm sorry again.
HalotelIko hivi, siku za nyuma kama wiki tatu zilizopita nilikuwa naongea na mama kweny simu, tulikuwa tunaongea kuhusu maswala ya kutumiana pesa, nikwambia ntamtumia muda si mrefu tukimaliza kuongea, cha kushangaza baada ya kukata tuu simu, kuna message ikaingia ya namba nyingine ngeni inasema "mwanangu tuma kweny hii namba 07xx xxx xxx".
Nikashtuka kidogo ila kwa kuwa najua mambo ya utapeli wa mitandao nikakausha.
Ila kilichonishangaza, kwann ile message mtu aliyetuma imeandika "mwanang" just momentarily baada ya kuongea na mama, muda uliotumwa hio message pamoja na context za hio message zilinishtua.
Nilimpigia simu mama akasema sio yeye, nikapotezea nikawaza maybe it's just a coincidence.
Second scenario, imetokea wiki iliyopita, nilikuwa naongea na demu flani ivi kweny simu, nayeye hivohivo tulikuwa tunaongea maswala ya kutumiana pesa. Cha kushangaza baada ya kuongea nae nilivokata simu tuu baada ya kama dakika moja ikaingia message "Tuma kweny namba 07xx xxxx xxx".
Nilivompigia akasema sio yeye na hajawahi miliki hio namba.
Nikawaza kuhusu precession ya ile message, mbona imetumwa muda muafaka kabisa, ila nikapotezea pia.
Leo imetokea tena, huyuhuyu demu amenicheki sema this time hatujaongea, tumetumiana tuu message nikamwambia sawa nakutumia.
From tulivoongea saa 12 jioni, saa 12 unusu message mbili zikaingia namba ngeni, ya kwanza "Ntumie basi hio hela" ya pili "tuma humu 07xx xxx xxx", kumuuliza anasema sio yeye.
Hii ya leo imenifikirisha sana na ndio imenifanya nikumbuke scenario za nyuma, kwann hizi message zinaingia just after kuongea na watu kuhusu kutumiana pesa, wanajuaje? Or is it just a coincidence??
Mi nadhani hii mitandao haina ulinzi, haina privacy kabisa, na nahisi kuna watu huwa wanatusikiliza na kusoma message zetu, this can't be a simple coincidence.
Sitautaja mtandao ninao tumia ila nina mpango wa kuuhama.
Nyie wenzangu vipi hamjawahi kutana na haya mambo??
mtandao ganii huoHiyo ilishawahi kunitokea pia nimemaliza tu kuongea na Bi mkubwa nakata tu simu ndani ya sekunde kadhaa ikaingia meseji fupi sana "tuma kwenye namba hii ××××" kidogo niingie chakike
0738....😂mtandao ganii huo
Mama yangu ana sim card moja tu ya Airtel hatumii mtandao mwingine , mi sikumbuki nilimpigia kwa mtandao gani ila yeye anatumia Airtel tumtandao ganii huo
Mwanaharakati huru amesema kuna kamera zinarekodi mazungumzo ya wapinzaniKichwa Cha habari Nikajua unahofia kutekwa
SureUmenifanya nianze kufuatilia hii situeshen!
kila ninapopokea meseji za namna hii nikague mawasiliano yangu! shukrani kwa kututonya mkuu!!