Tuwe makini, nahisi hii mitandao ya simu haina ulinzi wa uhakika

Tuwe makini, nahisi hii mitandao ya simu haina ulinzi wa uhakika

0738717409 Huyu kanitumia meseji hii Chini Jana saa 08:44 asubuh

Utanitumia kwa hîi AIRTEL 0783601792 j'ina linakuja AMINA MLYOHO.
 
Iko hivi, siku za nyuma kama wiki tatu zilizopita nilikuwa naongea na mama kweny simu, tulikuwa tunaongea kuhusu maswala ya kutumiana pesa, nikwambia ntamtumia muda si mrefu tukimaliza kuongea, cha kushangaza baada ya kukata tuu simu, kuna message ikaingia ya namba nyingine ngeni inasema "mwanangu tuma kweny hii namba 07xx xxx xxx. Nikashtuka kidogo ila kwa kuwa najua mambo ya utapeli wa mitandao nikakausha.

Ila kilichonishangaza, kwanini ile message mtu aliyetuma imeandika "mwanangu" just momentarily baada ya kuongea na mama, muda uliotumwa hio message pamoja na context za hio message zilinishtua.

Nilimpigia simu mama akasema sio yeye, nikapotezea nikawaza maybe it's just a coincidence.

Second scenario, imetokea wiki iliyopita, nilikuwa naongea na binti flani hivi kwenye simu, nayeye hivohivo tulikuwa tunaongea maswala ya kutumiana pesa. Cha kushangaza baada ya kuongea nae nilivokata simu tuu baada ya kama dakika moja ikaingia message "Tuma kwenye namba 07xx xxxx xxx".

Nilivompigia akasema sio yeye na hajawahi miliki hio namba. Nikawaza kuhusu precession ya ile message, mbona imetumwa muda muafaka kabisa, ila nikapotezea pia.

Leo imetokea tena, huyuhuyu dada amenicheki sema this time hatujaongea, tumetumiana tuu message nikamwambia sawa nakutumia. From tulivoongea saa 12 jioni, saa 12 unusu message mbili zikaingia namba ngeni, ya kwanza "Ntumie basi hio hela" ya pili "tuma humu 07xx xxx xxx", kumuuliza anasema sio yeye.

Hii ya leo imenifikirisha sana na ndio imenifanya nikumbuke scenario za nyuma, kwanini hizi message zinaingia just after kuongea na watu kuhusu kutumiana pesa, wanajuaje? Or is it just a coincidence??

Mi nadhani hii mitandao haina ulinzi, haina privacy kabisa, na nahisi kuna watu huwa wanatusikiliza na kusoma message zetu, this can't be a simple coincidence.

Soma Pia: Utapeli wa ‘hiyo pesa tuma kwenye namba hii’ umeshika kasi, nimegundua mbinu ya kuwazuia, napendekeza haya yafanyike kuwakomesha

Sitautaja mtandao ninao tumia ila nina mpango wa kuuhama.

Nyie wenzangu vipi hamjawahi kutana na haya mambo??
Hao watu wa mitandao ndo wezi namba moja
 
Bado hujanijibu swali langu, nimetoka kuzungumzia ununuzi wa pikipiki Kisha nakata simu halafu Napokea ujumbe unaohusiana na pikipiki muda huo huo. Najaribu kumrudia hewani muuzaji anasema hajatuma ujumbe wowote Kwangu na makubaliano yetu ni kama awali.

Hizo SMS za kutuma kwa mtu aliyekua na miahadi ya kumtumia mtu pesa ni kawaida lakini si kawaida kwa kulenga kabisa maudhui mazima ya mazungumzo yaliyopita hivi punde.
Hilo lipo nje ya uwezo wangu mkuu,,

Ila nimekujibu kutokana na experience ya matapeli wengi wa tuma kwenye namba hii wanavyofanya.

Kwa hilo la kutumiwa mazungumzo sijuwi.
 
Iko hivi, siku za nyuma kama wiki tatu zilizopita nilikuwa naongea na mama kweny simu, tulikuwa tunaongea kuhusu maswala ya kutumiana pesa, nikwambia ntamtumia muda si mrefu tukimaliza kuongea, cha kushangaza baada ya kukata tuu simu, kuna message ikaingia ya namba nyingine ngeni inasema "mwanangu tuma kweny hii namba 07xx xxx xxx. Nikashtuka kidogo ila kwa kuwa najua mambo ya utapeli wa mitandao nikakausha.

Ila kilichonishangaza, kwanini ile message mtu aliyetuma imeandika "mwanangu" just momentarily baada ya kuongea na mama, muda uliotumwa hio message pamoja na context za hio message zilinishtua.

Nilimpigia simu mama akasema sio yeye, nikapotezea nikawaza maybe it's just a coincidence.

Second scenario, imetokea wiki iliyopita, nilikuwa naongea na binti flani hivi kwenye simu, nayeye hivohivo tulikuwa tunaongea maswala ya kutumiana pesa. Cha kushangaza baada ya kuongea nae nilivokata simu tuu baada ya kama dakika moja ikaingia message "Tuma kwenye namba 07xx xxxx xxx".

Nilivompigia akasema sio yeye na hajawahi miliki hio namba. Nikawaza kuhusu precession ya ile message, mbona imetumwa muda muafaka kabisa, ila nikapotezea pia.

Leo imetokea tena, huyuhuyu dada amenicheki sema this time hatujaongea, tumetumiana tuu message nikamwambia sawa nakutumia. From tulivoongea saa 12 jioni, saa 12 unusu message mbili zikaingia namba ngeni, ya kwanza "Ntumie basi hio hela" ya pili "tuma humu 07xx xxx xxx", kumuuliza anasema sio yeye.

Hii ya leo imenifikirisha sana na ndio imenifanya nikumbuke scenario za nyuma, kwanini hizi message zinaingia just after kuongea na watu kuhusu kutumiana pesa, wanajuaje? Or is it just a coincidence??

Mi nadhani hii mitandao haina ulinzi, haina privacy kabisa, na nahisi kuna watu huwa wanatusikiliza na kusoma message zetu, this can't be a simple coincidence.

Soma Pia: Utapeli wa ‘hiyo pesa tuma kwenye namba hii’ umeshika kasi, nimegundua mbinu ya kuwazuia, napendekeza haya yafanyike kuwakomesha

Sitautaja mtandao ninao tumia ila nina mpango wa kuuhama.

Nyie wenzangu vipi hamjawahi kutana na haya mambo??
Nigerians wanaishi maisha ya kifahari hapa Dar, mamlaka zinajua na zinawafahamu. I wish ningekuwa kamishina wa uhamiaji!
 
Back
Top Bottom