Tuwe makini, nahisi hii mitandao ya simu haina ulinzi wa uhakika

Napata meseji nyingi za utapeli kutoka kwenye namba za mtandao wa TTCL, sijajua shida ni nini, wameshindwa kuwadhibiti hao matapeli?! Mbona mitandao mingine imeweza.
 
Iko hivi, wazee wa tuma namba hii wanatuma msg kama 1000 randomly ina ujumbe mmoja mfano MWANANGU HIO HELA NITUMIE KWENYE NAMBA HII. Katika hizo msg 1000 hawezi kukosa moja ambayovitashabihiana na ujumbe huo. Bajati mbaya huyo mmoja katika 1000 unakuwa wewe.
 
Halotel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…