Tuwe makini, nahisi hii mitandao ya simu haina ulinzi wa uhakika

0738717409 Huyu kanitumia meseji hii Chini Jana saa 08:44 asubuh

Utanitumia kwa hîi AIRTEL 0783601792 j'ina linakuja AMINA MLYOHO.
 
Hao watu wa mitandao ndo wezi namba moja
 
Hilo lipo nje ya uwezo wangu mkuu,,

Ila nimekujibu kutokana na experience ya matapeli wengi wa tuma kwenye namba hii wanavyofanya.

Kwa hilo la kutumiwa mazungumzo sijuwi.
 
Nigerians wanaishi maisha ya kifahari hapa Dar, mamlaka zinajua na zinawafahamu. I wish ningekuwa kamishina wa uhamiaji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…