Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RAM ndogo.Irrelevant example.
Nasikia hata bwawa la Nyerere mipango ilianza wakati wa Nyerere ila miaka yote 60 raia wamekuwa wakiishi katika migao ya umeme na majeneretaHakika Kikwete apewe haki yake.
Ameongea ukweli kuhusu SGR.
Salary Slip aliweka thread hapa JF mwaka 2013 JK akizungumzia mpango wa ujenzi wa SGR.
Wewe ,funga mdomo wakoo ,na nakuonyaa hata siku moja usijaribu kufungu domo lako kuhusu Mzalendo wa Kweli kutokea nchi baada ya Mw Nyerere ,Ifike hatua tuwe na adabu,
Jakaya kikwete ndio Rais mstaafu tuliyenaye, huyu ni msaada Kwa nchi yetu, angeamua kua kama uhuru anaweza lakini katulia na amebaki akiambiwa panda pikipiki wala hajali,
Nawapa hizi dondoo chache, fedha za SGR hadi dodoma aliacha ametafuta Jakaya, ile kijazi interchange alitafuta jakaya, tena magufuli akavuruga ramani, ilikua ni bonge la kitu,
Upanuzi wa barabara kimara hadi mile moja fedha alitafuta jakaya, daraja la tanzanite pesa aliacha jakaya,
Jakaya kawa muwazi kua mipango ilianza Kwa mkapa, akaihanikiza, magufuli kaisimamia, kosa lake ni lipi?
Nchi haijengwi na mtu mmoja, nchi inajengwa Kwa kupokezana, uongozi ni mbio za vijiti ni kupokezana huyu anakimbia hadi hapa na mwingine hadi kule.
Viongozi wetu wana mazuri na mabaya yao na kila mmoja anakitu alifanyia nchi yake tuwe na heshima,
Sawa.RAM ndogo.
This logical fallacy is called argument from authority.Ifike hatua tuwe na adabu,
Jakaya kikwete ndio Rais mstaafu tuliyenaye, huyu ni msaada Kwa nchi yetu, angeamua kua kama uhuru anaweza lakini katulia na amebaki akiambiwa panda pikipiki wala hajali,
Nawapa hizi dondoo chache, fedha za SGR hadi dodoma aliacha ametafuta Jakaya, ile kijazi interchange alitafuta jakaya, tena magufuli akavuruga ramani, ilikua ni bonge la kitu,
Upanuzi wa barabara kimara hadi mile moja fedha alitafuta jakaya, daraja la tanzanite pesa aliacha jakaya,
Jakaya kawa muwazi kua mipango ilianza Kwa mkapa, akaihanikiza, magufuli kaisimamia, kosa lake ni lipi?
Nchi haijengwi na mtu mmoja, nchi inajengwa Kwa kupokezana, uongozi ni mbio za vijiti ni kupokezana huyu anakimbia hadi hapa na mwingine hadi kule.
Viongozi wetu wana mazuri na mabaya yao na kila mmoja anakitu alifanyia nchi yake tuwe na heshima,
Mwendazake alikuwa nyamisifa.Propaganda
Mbona hakusema wakati huo kuwa nimeacha fedha za SGR, Tanzanite, Kijazi etc, Mwendazake alisimama jukwaani akasema hazina hamna kitu, Msoga haikukanusha
Upo sahihi Ingawa hili dingo karushiwa JakayaHata Nyerere aliweka mpango wa Stigglers Gorge na Makao Makuu Dodoma
Ifike hatua tuwe na adabu,
Jakaya kikwete ndio Rais mstaafu tuliyenaye, huyu ni msaada Kwa nchi yetu, angeamua kua kama uhuru anaweza lakini katulia na amebaki akiambiwa panda pikipiki wala hajali,
Nawapa hizi dondoo chache, fedha za SGR hadi dodoma aliacha ametafuta Jakaya, ile kijazi interchange alitafuta jakaya, tena magufuli akavuruga ramani, ilikua ni bonge la kitu,
Upanuzi wa barabara kimara hadi mile moja fedha alitafuta jakaya, daraja la tanzanite pesa aliacha jakaya,
Jakaya kawa muwazi kua mipango ilianza Kwa mkapa, akaihanikiza, magufuli kaisimamia, kosa lake ni lipi?
Nchi haijengwi na mtu mmoja, nchi inajengwa Kwa kupokezana, uongozi ni mbio za vijiti ni kupokezana huyu anakimbia hadi hapa na mwingine hadi kule.
Viongozi wetu wana mazuri na mabaya yao na kila mmoja anakitu alifanyia nchi yake tuwe na heshima,
Mwendazake alikuwa nyamisifa.
In fact, walitaka lifutiliwe mbali. Mungu wetu ni mwema. Kuna mambo yanashangaza sana. Ile habari ya kukosekana crane, mara hakuna environment impact assessment, mara maji hayawezi kujaa...yaani figisu mwanzo mwishoAcha weee.
Alitafuta pesa wapi babu wewe? Huyo alikuwa anakula maisha tu. Na escrow na richmond
Pesa zimetafutwa na JPM mwenyewe na wandarasi amewatafuta mwenyewe, na walisaini live tukiona.
Mfano mwingine ni Bwawa la Umeme la Nyerere. Tumu musoga walileta figisu balaa ili lisijengwe, mwisho wa siku wakaenda kupena medali, Tena wasitutingishe kabisa
Kumtetea Jakaya inahitaji karama ya ushawishi. Otherwise watu watakupiga mawe.Ambaye hajajilimbikizia mali ni nani? Usitake watu wafunguke mengi ujue.
Kikwete ndiye Rais aliyefanya maisha yakawa na nafuu kuwahi kutokea nchi hii.
Pesa ilionekana mtaani hata kwa mtu wa chini aliweza kukidhi mahitaji yake pasipo tatizo kabisa.
Yeye ndiye mwanzilishi wa miradi mingi unayoiona leo kuanzia SGR, Mwendokasi, daraja la Kigamboni, Saraja la Ifakara, ujenzi chuo kikuu cha UDOM ambacho ndicho kikubwa kwa eneo lote la Afrika Mashariki na Kati.
Acha chuki zisizo na maana wewe.
Kukaa kulia au kushoto kwa Mwenyezi Mungu sio amri ya waswahili wenzangu
Nasikia hata bwawa la Nyerere mipango ilianza wakati wa Nyerere ila miaka yote 60 raia wamekuwa wakiishi katika migao ya umeme na majenereta
Hakika Kikwete apewe haki yake.
Ameongea ukweli kuhusu SGR.
Salary Slip aliweka thread hapa JF mwaka 2013 JK akizungumzia mpango wa ujenzi wa SGR.