Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Hao mateja ndo wanakuja huku kumuanzishia nyuzi za kumsifu.Kwenye Unga hapo naungana na wewe,Mpaka ikafika wakati wanataka kubadilishana mateka na Aridhi yetu ya Bagamoyo...Kaharibu sana vijana wa kinondoni na sjui kwa nn mpaka leo afi akapate Adhabu yake mbinguni.
Ifike hatua tuwe na adabu,
Jakaya kikwete ndio Rais mstaafu tuliyenaye, huyu ni msaada Kwa nchi yetu, angeamua kua kama uhuru anaweza lakini katulia na amebaki akiambiwa panda pikipiki wala hajali,
Nawapa hizi dondoo chache, fedha za SGR hadi dodoma aliacha ametafuta Jakaya, ile kijazi interchange alitafuta jakaya, tena magufuli akavuruga ramani, ilikua ni bonge la kitu,
Upanuzi wa barabara kimara hadi mile moja fedha alitafuta jakaya, daraja la tanzanite pesa aliacha jakaya,
Jakaya kawa muwazi kua mipango ilianza Kwa mkapa, akaihanikiza, magufuli kaisimamia, kosa lake ni lipi?
Nchi haijengwi na mtu mmoja, nchi inajengwa Kwa kupokezana, uongozi ni mbio za vijiti ni kupokezana huyu anakimbia hadi hapa na mwingine hadi kule.
Viongozi wetu wana mazuri na mabaya yao na kila mmoja anakitu alifanyia nchi yake tuwe na heshima,
Unafahamu kuwa kabla ya Jakaya ukitaka kwenda na kurudi Mwanza kutokea Dar inabidi uende kwanza Kenya?jakaya legacy pekee ameacha ni majizi na utani. hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kujilimbikizia mali.
Kujilimbikizia mali, ufisadi na kuuza mali asili za nchi na kulea wauza unga, mitume na manabii feki.akaihanikiza, magufuli kaisimamia, kosa lake ni lipi?
bibi kizee kumbe umetembea sana, ndio nafahamu, nakumbuka. so?Unafahamu kuwa kabla ya Jakaya ukitaka kwenda na kurudi Mwanza kutokea Dar inabidi uende kwanza Kenya?
Kuiondowa hiyo adhabu ya Mtanzania kutokea Mwanza kwenda Dar mpaka aende Kenya kwanza, siyo legacy hiyo?bibi kizee kumbe umetembea sana, ndio nafahamu, nakumbuka. so?
leo umeshinda rafiki yangu. umechukua point zote. na umenikumbusha mbali safari zile na scandinavia. dah. wewe bibi weweeee.Kuiondowa hiyo adhabu ya Mtanzania kutokea Mwanza kwenda Dar mpaka aende Kenya kwanza, siyo legacy hiyo?
Akina mauzinde wa msoga.Hao mateja ndo wanakuja huku kumuanzishia nyuzi za kumsifu.
daraja la kigamboni kajenga nani? daraja la malagalasi kajenga nani? UDOM kamalizia kujenga nani?jakaya legacy pekee ameacha ni majizi na utani. hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kujilimbikizia mali.
daraja la kigamboni kajenga nani? daraja la malagalasi kajenga nani? UDOM kamalizia kujenga nani?jakaya legacy pekee ameacha ni majizi na utani. hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kujilimbikizia mali.
Magufuli alisema alipo ingia Ikulu hakukuta ata senti moja AzinaIfike hatua tuwe na adabu,
Jakaya kikwete ndio Rais mstaafu tuliyenaye, huyu ni msaada Kwa nchi yetu, angeamua kua kama uhuru anaweza lakini katulia na amebaki akiambiwa panda pikipiki wala hajali,
Nawapa hizi dondoo chache, fedha za SGR hadi dodoma aliacha ametafuta Jakaya, ile kijazi interchange alitafuta jakaya, tena magufuli akavuruga ramani, ilikua ni bonge la kitu,
Upanuzi wa barabara kimara hadi mile moja fedha alitafuta jakaya, daraja la tanzanite pesa aliacha jakaya,
Jakaya kawa muwazi kua mipango ilianza Kwa mkapa, akaihanikiza, magufuli kaisimamia, kosa lake ni lipi?
Nchi haijengwi na mtu mmoja, nchi inajengwa Kwa kupokezana, uongozi ni mbio za vijiti ni kupokezana huyu anakimbia hadi hapa na mwingine hadi kule.
Viongozi wetu wana mazuri na mabaya yao na kila mmoja anakitu alifanyia nchi yake tuwe na heshima,