Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Wazungu kuna kitu wanaita classified information! Hizi ni taarifa kificho zinazofahamika kwa kaliba fulani ya watu ndani ya mamlaka ya nchi..
Hizi huwa ni taarifa za siri zinazowahusu viongozi wa nchi mambo yahusuyo nchi ambazo kama zikivuja kwa wakati huo nchi inaweza kuingia matatani
Huitwa classified information kwakuwa duniani hakuna siri ya mtu mmoja milele.. Hivyo huwa na kipindi maalum cha mpito mpaka zipoe na kuwa na madhara madogo ndio hutolewa public.. Hii husaidia sana kuwakata kalima wale wote ambao wangezivujisha kwa ladha na vionjo vyao kabla ya mamlaka!
Afrika na Tanzania na pengine mataifa mengi mengine hayana huo utaratibu.. Na hii hutoa nafasi kwa watu binafsi.. Kuzitafuta taarifa husika na kuzovujisha kwa Jamii kupitia maandiko ya vitabuni machapisho mitandaoni nknk!
Tumeunza mwaka 2025 na machapisho ya mwandishi Erick Kabendera mmojawapo wa wahanga wa utawala wa JPM
Ametoa kitabu kinachoelezea mengi maovu ya JPM katka utawala wake! Mengi kati yake si mageni.. Yalikuwa ni tetesi ambazo zilijadiliwa kwa siri na kwa uoga mkubwa! Hakuna chombo chochote cha habari ama mwandishi binafsi alijaribu kuziweka wazi kama alivyofanya Eric sasa hivi
Kitabu chake hicho kimezua mijadala ya kila aina.. Kuna ambao wamefikia kuishauri mamalaka kukifungia kwakuwa kinamchafua marehemu na kuitia doa ccm na serikali yote
Mimi nashauri kiachwe.. Na mijadala mingi zaidi iruhusiwe na ikiwezekana taarifa zile zipewe majibu ya kweli na ya hhakika
Kwa kufanya hivyo serikali itakuwa imejitua mzigo mkubwa sana na kufunga ukursaha wa hayo mazonge yote ya utawala wa JPM
Jaribio lolote la kutaka kukizuia kitabu cha Kabendera na kuahirisha tatizo ambalo linakuja kuibuka tena na kwa nguvu zaidi katika kipindi ambacho hakina afya sana!
Hizi huwa ni taarifa za siri zinazowahusu viongozi wa nchi mambo yahusuyo nchi ambazo kama zikivuja kwa wakati huo nchi inaweza kuingia matatani
Huitwa classified information kwakuwa duniani hakuna siri ya mtu mmoja milele.. Hivyo huwa na kipindi maalum cha mpito mpaka zipoe na kuwa na madhara madogo ndio hutolewa public.. Hii husaidia sana kuwakata kalima wale wote ambao wangezivujisha kwa ladha na vionjo vyao kabla ya mamlaka!
Afrika na Tanzania na pengine mataifa mengi mengine hayana huo utaratibu.. Na hii hutoa nafasi kwa watu binafsi.. Kuzitafuta taarifa husika na kuzovujisha kwa Jamii kupitia maandiko ya vitabuni machapisho mitandaoni nknk!
Tumeunza mwaka 2025 na machapisho ya mwandishi Erick Kabendera mmojawapo wa wahanga wa utawala wa JPM
Ametoa kitabu kinachoelezea mengi maovu ya JPM katka utawala wake! Mengi kati yake si mageni.. Yalikuwa ni tetesi ambazo zilijadiliwa kwa siri na kwa uoga mkubwa! Hakuna chombo chochote cha habari ama mwandishi binafsi alijaribu kuziweka wazi kama alivyofanya Eric sasa hivi
Kitabu chake hicho kimezua mijadala ya kila aina.. Kuna ambao wamefikia kuishauri mamalaka kukifungia kwakuwa kinamchafua marehemu na kuitia doa ccm na serikali yote
Mimi nashauri kiachwe.. Na mijadala mingi zaidi iruhusiwe na ikiwezekana taarifa zile zipewe majibu ya kweli na ya hhakika
Kwa kufanya hivyo serikali itakuwa imejitua mzigo mkubwa sana na kufunga ukursaha wa hayo mazonge yote ya utawala wa JPM
Jaribio lolote la kutaka kukizuia kitabu cha Kabendera na kuahirisha tatizo ambalo linakuja kuibuka tena na kwa nguvu zaidi katika kipindi ambacho hakina afya sana!