Tuwe na utaratibu wa kuziweka wazi taarifa kificho muda unapofika

Tuwe na utaratibu wa kuziweka wazi taarifa kificho muda unapofika

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Wazungu kuna kitu wanaita classified information! Hizi ni taarifa kificho zinazofahamika kwa kaliba fulani ya watu ndani ya mamlaka ya nchi..
Hizi huwa ni taarifa za siri zinazowahusu viongozi wa nchi mambo yahusuyo nchi ambazo kama zikivuja kwa wakati huo nchi inaweza kuingia matatani
Huitwa classified information kwakuwa duniani hakuna siri ya mtu mmoja milele.. Hivyo huwa na kipindi maalum cha mpito mpaka zipoe na kuwa na madhara madogo ndio hutolewa public.. Hii husaidia sana kuwakata kalima wale wote ambao wangezivujisha kwa ladha na vionjo vyao kabla ya mamlaka!
Afrika na Tanzania na pengine mataifa mengi mengine hayana huo utaratibu.. Na hii hutoa nafasi kwa watu binafsi.. Kuzitafuta taarifa husika na kuzovujisha kwa Jamii kupitia maandiko ya vitabuni machapisho mitandaoni nknk!
Tumeunza mwaka 2025 na machapisho ya mwandishi Erick Kabendera mmojawapo wa wahanga wa utawala wa JPM
Ametoa kitabu kinachoelezea mengi maovu ya JPM katka utawala wake! Mengi kati yake si mageni.. Yalikuwa ni tetesi ambazo zilijadiliwa kwa siri na kwa uoga mkubwa! Hakuna chombo chochote cha habari ama mwandishi binafsi alijaribu kuziweka wazi kama alivyofanya Eric sasa hivi

Kitabu chake hicho kimezua mijadala ya kila aina.. Kuna ambao wamefikia kuishauri mamalaka kukifungia kwakuwa kinamchafua marehemu na kuitia doa ccm na serikali yote
Mimi nashauri kiachwe.. Na mijadala mingi zaidi iruhusiwe na ikiwezekana taarifa zile zipewe majibu ya kweli na ya hhakika
Kwa kufanya hivyo serikali itakuwa imejitua mzigo mkubwa sana na kufunga ukursaha wa hayo mazonge yote ya utawala wa JPM
Jaribio lolote la kutaka kukizuia kitabu cha Kabendera na kuahirisha tatizo ambalo linakuja kuibuka tena na kwa nguvu zaidi katika kipindi ambacho hakina afya sana!
 
Wazungu kuna kitu wanaita classified information! Hizi ni taarifa kificho zinazofahamika kwa kaliba fulani ya watu ndani ya mamlaka ya nchi..
Hizi huwa ni taarifa za siri zinazowahusu viongozi wa nchi mambo yahusuyo nchi ambazo kama zikivuja kwa wakati huo nchi inaweza kuingia matatani
Huitwa classified information kwakuwa duniani hakuna siri ya mtu mmoja milele.. Hivyo huwa na kipindi maalum cha mpito mpaka zipoe na kuwa na madhara madogo ndio hutolewa public.. Hii husaidia sana kuwakata kalima wale wote ambao wangezivujisha kwa ladha na vionjo vyao kabla ya mamlaka!
Afrika na Tanzania na pengine mataifa mengi mengine hayana huo utaratibu.. Na hii hutoa nafasi kwa watu binafsi.. Kuzitafuta taarifa husika na kuzovujisha kwa Jamii kupitia maandiko ya vitabuni machapisho mitandaoni nknk!
Tumeunza mwaka 2025 na machapisho ya mwandishi Erick Kabendera mmojawapo wa wahanga wa utawala wa JPM
Ametoa kitabu kinachoelezea mengi maovu ya JPM katka utawala wake! Mengi kati yake si mageni.. Yalikuwa ni tetesi ambazo zilijadiliwa kwa siri na kwa uoga mkubwa! Hakuna chombo chochote cha habari ama mwandishi binafsi alijaribu kuziweka wazi kama alivyofanya Eric sasa hivi

Kitabu chake hicho kimezua mijadala ya kila aina.. Kuna ambao wamefikia kuishauri mamalaka kukifungia kwakuwa kinamchafua marehemu na kuitia doa ccm na serikali yote
Mimi nashauri kiachwe.. Na mijadala mingi zaidi iruhusiwe na ikiwezekana taarifa zile zipewe majibu ya kweli na ya hhakika
Kwa kufanya hivyo serikali itakuwa imejitua mzigo mkubwa sana na kufunga ukursaha wa hayo mazonge yote ya utawala wa JPM
Jaribio lolote la kutaka kukizuia kitabu cha Kabendera na kuahirisha tatizo ambalo linakuja kuibuka tena na kwa nguvu zaidi katika kipindi ambacho hakina afya sana!
Mkuu, claassified huwa zina kawaida ya kuwa declassified kwa kuanzia angalau miaka 30. Ulitaka wakina Kabendera wasubiri miaka yote hiyo ndiyo waje na hizo taarifa. Pia Kandera siyo mtu wao wa ndani bali ni Mwandishi wa habari za uchunguzi.
Kuhusu Tz kuwa na sheria za classified, mbona hizo sheria zipo!
 
Mkuu, claassified huwa zina kawaida ya kuwa classified kwa kuanzia angalau miaka 30. Ulitaka wakina Kabendera wasubiri miaka yote hiyo ndiyo waje na hizo taarifa. Kuhusu Tz kuwa na sheria za classified, mbona hizo sheria zipo!
Je kuna mifano kwa Tanganyika? Miaka 30 inategemea na ukubwa wa jambo. Kuna mengine ndani ya miaka 10 huvujishwa hadharani.. Kikubwa kinachoangaliwa ni impact ya taarifa husika
 
Wazungu kuna kitu wanaita classified information! Hizi ni taarifa kificho zinazofahamika kwa kaliba fulani ya watu ndani ya mamlaka ya nchi..
Hizi huwa ni taarifa za siri zinazowahusu viongozi wa nchi mambo yahusuyo nchi ambazo kama zikivuja kwa wakati huo nchi inaweza kuingia matatani
Huitwa classified information kwakuwa duniani hakuna siri ya mtu mmoja milele.. Hivyo huwa na kipindi maalum cha mpito mpaka zipoe na kuwa na madhara madogo ndio hutolewa public.. Hii husaidia sana kuwakata kalima wale wote ambao wangezivujisha kwa ladha na vionjo vyao kabla ya mamlaka!
Afrika na Tanzania na pengine mataifa mengi mengine hayana huo utaratibu.. Na hii hutoa nafasi kwa watu binafsi.. Kuzitafuta taarifa husika na kuzovujisha kwa Jamii kupitia maandiko ya vitabuni machapisho mitandaoni nknk!
Tumeunza mwaka 2025 na machapisho ya mwandishi Erick Kabendera mmojawapo wa wahanga wa utawala wa JPM
Ametoa kitabu kinachoelezea mengi maovu ya JPM katka utawala wake! Mengi kati yake si mageni.. Yalikuwa ni tetesi ambazo zilijadiliwa kwa siri na kwa uoga mkubwa! Hakuna chombo chochote cha habari ama mwandishi binafsi alijaribu kuziweka wazi kama alivyofanya Eric sasa hivi

Kitabu chake hicho kimezua mijadala ya kila aina.. Kuna ambao wamefikia kuishauri mamalaka kukifungia kwakuwa kinamchafua marehemu na kuitia doa ccm na serikali yote
Mimi nashauri kiachwe.. Na mijadala mingi zaidi iruhusiwe na ikiwezekana taarifa zile zipewe majibu ya kweli na ya hhakika
Kwa kufanya hivyo serikali itakuwa imejitua mzigo mkubwa sana na kufunga ukursaha wa hayo mazonge yote ya utawala wa JPM
Jaribio lolote la kutaka kukizuia kitabu cha Kabendera na kuahirisha tatizo ambalo linakuja kuibuka tena na kwa nguvu zaidi katika kipindi ambacho hakina afya sana!
Kwa Tanzania hii?? I don't expect this to happen!

Kwa tawala zenye itikadi za siasa za Kikomunisti/Ujamaa hawana utamaduni huo wa kufanya De-classification ya taarifa zao za Siri (Classified Information). Hii ni kutokana na sababu nyingi Sana, lakini sababu kuu ikiwa ni kuficha Uovu na Uhalifu ambao umefanywa na Utawala husika.

Kumbuka: Uhai au existence ya utawala wowote ule wa Kikomunisti/Ujamaa hutegemea na suala zima la kuwaangamiza au kufanyia madhila na uhalifu wale wapinzani wao au wakosoaji wao.
Case Study: Rejea suala zima la kuanguka kwa Utawala wa Shirikisho la Urusi ya zamani (USSR) na KGB pamoja na Ushetani uliokuwa ukifanyika kwa Wananchi kwa kutumia genge hilo la KGB.
 
Kwa Tanzania hii?? I don't expect this to happen!

Kwa tawala zenye itikadi za siasa za Kikomunisti/Ujamaa hawana utamaduni huo wa kufanya De-classification ya taarifa zao za Siri (Classified Information). Hii ni kutokana na sababu nyingi Sana, lakini sababu kuu ikiwa ni kuficha Uovu na Uhalifu ambao umefanywa na Utawala husika.

Kumbuka: Uhai au existence ya utawala wowote ule wa Kikomunisti/Ujamaa hutegemea na suala zima la kuwaangamiza au kufanyia madhila na uhalifu wake wapinzani wao au wakosoaji wao.
Kumbuka: Uhai au existence ya utawala wowote ule wa Kikomunisti/Ujamaa hutegemea na suala zima la kuwaangamiza au kufanyia madhila na uhalifu wake wapinzani wao au wakosoaji wao.📌🔨
 
Na kama ni classified info, ina maana mamlaka ndo watoaji wa taarifa!

Sasa, mamlaka itakuwa tayari kudhibitisha kuwa Magu alipiga mtu risasi ikulu kama itahitajika?
  • Kabendera anaweza thibitisha pasina shaka?
  • Asije leta habari za kusema, "..nimeambiwa na mtu mkubwa, siwezi kumtaja..."

Kabendera angechunguza ya Lisu kwanza, akaweka hadharani na kwa ushahidi, nani aliyempiga risasi Lisu, maana tukio lilikuwa hadharani kabla ya kwenda kupekenyua hayo magumu ambayo pengine ni ngumu kuaminika na jamii unless wote wana muelekeo wa kuumizwa na utawala madhubuti wa Magu!
 
Yes! kifupi Samia ana kubwa la kijifunza hapa.

Yale mambo ya kina kibao na wengine walau yatolewe ufafanuzi yamefikia wapi.
Sio vibaya kwa Jeshi la polisi kulili kuwa tumeahindwa kumpata muuwaji wa kibao Au Kada mwingine alietekwa.
Haya bado ya moto sana. Yakisemwa sasa katika uhalisia wake.. CCM inaanguka misa ya kwanza na viongozi wengi wakuu watapelekwa The Hague
 
Kitabu kingependeza kama kingewataja waliokwapua hela BOT baada ya yule mbuzi kufariki, na kiasi walichokwapua, taarifa ambazo kizimkazi kazificha kwenye cabinet.
Hii nchi ina upumbavu mwingi. Mtu anatangaza kuunda tume, lakini hatangazi matokeo ya tume. Foolish
 
Je kuna mifano kwa Tanganyika? Miaka 30 inategemea na ukubwa wa jambo. Kuna mengine ndani ya miaka 10 huvujishwa hadharani.. Kikubwa kinachoangaliwa ni impact ya taarifa husika
Kwa Tz likitoka kabla muda huo mtoaji kuna aina ya kesi hufunguliwa. Ila baada ya muda huo (nadhani ni miaka 30), watu au wachunguzi huweza kuitumia, hata wahusika miaka ile huweza kuitoa kama siri insyovujishwa.
 
Kwa Tz likitoka kabla muda huo mtoaji kuna aina ya kesi hufunguliwa. Ila baada ya muda huo (nadhani ni miaka 30), watu au wachunguzi huweza kuitumia, hata wahusika miaka ile huweza kuitoa kama siri insyovujishwa.
Classified information kamwe haziwezi kuwa De-classified kwa hapa bongo, never, hata ipite miaka 100 kamwe taarifa hizo hazitaweza kuwekwa hadharani. Never, never, never, never ever!
Je, umeshawahi kujiuliza ni kwa nini baadhi ya vigogo wa 'ile kampuni' wamekuwa wakifa vifo vya kutatanisha?
Hivi General Imran Kombe alifariki kwa ugonjwa gani vile? Na hivi Mzee Apson Mwang'onda naye alifariki kwa ugonjwa gani vile? Watu mnaofahamu mambo haya naomba mnifahakishe tafadhali sana.
 
Classified information kamwe haziwezi kuwa De-classified kwa hapa bongo, never, hata ipite miaka 100 kamwe taarifa hizo hazitaweza kuwekwa hadharani. Never, never, never, never ever!
Je, umeshawahi kujiuliza ni kwa nini baadhi ya vigogo wa 'ile kampuni' wamekuwa wakifa vifo vya kutatanisha?
Hivi General Imran Kombe alifariki kwa ugonjwa gani vile? Na hivi Mzee Apson Mwang'onda naye alifariki kwa ugonjwa gani vile? Watu mnaofahamu mambo haya naomba mnifahakishe tafadhali sana.
Kuna mengi mabaya na ya kutisha sana yamemwinywa chini ya meza
 
Kitabu kingependeza kama kingewataja waliokwapua hela BOT baada ya yule mbuzi kufariki, na kiasi walichokwapua, taarifa ambazo kizimkazi kazificha kwenye cabinet.
Hii nchi ina upumbavu mwingi. Mtu anatangaza kuunda tume, lakini hatangazi matokeo ya tume. Foolish
Kuna vitu vya kutisha sana bado ukweli wake umefichwa.. La kujiuliza ni je wataficha mpaka lini?
 
Back
Top Bottom