Tuwe na utaratibu wa kuziweka wazi taarifa kificho muda unapofika

Tuwe na utaratibu wa kuziweka wazi taarifa kificho muda unapofika

Kabendera kaongea mengi ambayo hata yeye anasema aliambiwa na watu. Mengine sio mageni kwa sababu tuliyasikia kama tetesi tangu JPM akiwa hai

Jambo moja alilosema Kabendera ni kwamba eti Julius Nyerere alikuwa anatrack na kuwa-assassinate wapinzani wake, hasa wale waliotoroka kwanza na kurudi nchini baade kimyakimya (below screenshot)

Ningetamani Kabendera atutajie hata majina matatu tu ya hao waliokuwa assassinated
IMG_6043.jpeg
 
Wazungu kuna kitu wanaita classified information! Hizi ni taarifa kificho zinazofahamika kwa kaliba fulani ya watu ndani ya mamlaka ya nchi..
Hizi huwa ni taarifa za siri zinazowahusu viongozi wa nchi mambo yahusuyo nchi ambazo kama zikivuja kwa wakati huo nchi inaweza kuingia matatani
Huitwa classified information kwakuwa duniani hakuna siri ya mtu mmoja milele.. Hivyo huwa na kipindi maalum cha mpito mpaka zipoe na kuwa na madhara madogo ndio hutolewa public.. Hii husaidia sana kuwakata kalima wale wote ambao wangezivujisha kwa ladha na vionjo vyao kabla ya mamlaka!
Afrika na Tanzania na pengine mataifa mengi mengine hayana huo utaratibu.. Na hii hutoa nafasi kwa watu binafsi.. Kuzitafuta taarifa husika na kuzovujisha kwa Jamii kupitia maandiko ya vitabuni machapisho mitandaoni nknk!
Tumeunza mwaka 2025 na machapisho ya mwandishi Erick Kabendera mmojawapo wa wahanga wa utawala wa JPM
Ametoa kitabu kinachoelezea mengi maovu ya JPM katka utawala wake! Mengi kati yake si mageni.. Yalikuwa ni tetesi ambazo zilijadiliwa kwa siri na kwa uoga mkubwa! Hakuna chombo chochote cha habari ama mwandishi binafsi alijaribu kuziweka wazi kama alivyofanya Eric sasa hivi

Kitabu chake hicho kimezua mijadala ya kila aina.. Kuna ambao wamefikia kuishauri mamalaka kukifungia kwakuwa kinamchafua marehemu na kuitia doa ccm na serikali yote
Mimi nashauri kiachwe.. Na mijadala mingi zaidi iruhusiwe na ikiwezekana taarifa zile zipewe majibu ya kweli na ya hhakika
Kwa kufanya hivyo serikali itakuwa imejitua mzigo mkubwa sana na kufunga ukursaha wa hayo mazonge yote ya utawala wa JPM
Jaribio lolote la kutaka kukizuia kitabu cha Kabendera na kuahirisha tatizo ambalo linakuja kuibuka tena na kwa nguvu zaidi katika kipindi ambacho hakina afya sana!
Mkuu

Hiyo ni calculated move ya kitengo!

Nadhani wanahalalisha kumchafua mtu kaliba ya cheo hicho huko mbeleni!

Team jpm kitengo wakianza kuzisaka info za viongozi na kuziweka wazi ni hatari mno Kwa wahusika!!

We subiri uone kitakachojiri!
Mwaka wa uchaguzi huu halafu hayo Yana leak kwanini ya leak kipindi hiki!!?

Kuna namna!

Nimewaza TU ki JF JF vile tuwazavyo wengi!
 
Kabendera kaongea mengi ambayo hata yeye anasema aliambiwa na watu. Mengine sio mageni kwa sababu tuliyasikia kama tetesi tangu JPM akiwa hai

Jambo moja alilosema Kabendera ni kwamba eti Julius Nyerere alikuwa anatrack na kuwa-assassinate wapinzani wake, hasa wale waliotoroka kwanza na kurudi nchini baade kimyakimya (below screenshot)

Ningetamani Kabendera atutajie hata majina matatu tu ya hao waliokuwa assassinated
View attachment 3191518
Hapo katumika vibaya
 
Mkuu

Hiyo ni calculated move ya kitengo!

Nadhani wanahalalisha kumchafua mtu kaliba ya cheo hicho huko mbeleni!

Team jpm kitengo wakianza kuzisaka info za viongozi na kuziweka wazi ni hatari mno Kwa wahusika!!

We subiri uone kitakachojiri!
Mwaka wa uchaguzi huu halafu hayo Yana leak kwanini ya leak kipindi hiki!!?

Kuna namna!

Nimewaza TU ki JF JF vile tuwazavyo wengi!
Umewaza deep sana kuna kete zinaandaliwa zije zichezwe kwa namna ya ushindi usio na mapingamizi
 
Hapo katumika vibaya
Kuna vistatement vingivingi vyenye kutia shaka

Kwa mfano, siamini eti Vice President alitishia kuresign kwa sababu eti kuna siku JPM aliibukia kwa madame SSH usiku mnene akiwa kavaa Pajama

Tetesi za VP kudaiwa kutaka kuresign zilisikika kipindi flani na sababu haikuwa hiyo aliyoitaja Kabendera
 
Mkuu
Kabendera kaongea mengi ambayo hata yeye anasema aliambiwa na watu. Mengine sio mageni kwa sababu tuliyasikia kama tetesi tangu JPM akiwa hai

Jambo moja alilosema Kabendera ni kwamba eti Julius Nyerere alikuwa anatrack na kuwa-assassinate wapinzani wake, hasa wale waliotoroka kwanza na kurudi nchini baade kimyakimya (below screenshot)

Ningetamani Kabendera atutajie hata majina matatu tu ya hao waliokuwa assassinated
View attachment 3191518
Mkuu una hiki kitabu unitumie au utume humu? Au kama kuna mwenye nacho atume humu jamani
 
Mkuu

Hiyo ni calculated move ya kitengo!

Nadhani wanahalalisha kumchafua mtu kaliba ya cheo hicho huko mbeleni!

Team jpm kitengo wakianza kuzisaka info za viongozi na kuziweka wazi ni hatari mno Kwa wahusika!!

We subiri uone kitakachojiri!
Mwaka wa uchaguzi huu halafu hayo Yana leak kwanini ya leak kipindi hiki!!?

Kuna namna!

Nimewaza TU ki JF JF vile tuwazavyo wengi!
🤔
 
Wazungu kuna kitu wanaita classified information! Hizi ni taarifa kificho zinazofahamika kwa kaliba fulani ya watu ndani ya mamlaka ya nchi..
Hizi huwa ni taarifa za siri zinazowahusu viongozi wa nchi mambo yahusuyo nchi ambazo kama zikivuja kwa wakati huo nchi inaweza kuingia matatani
Huitwa classified information kwakuwa duniani hakuna siri ya mtu mmoja milele.. Hivyo huwa na kipindi maalum cha mpito mpaka zipoe na kuwa na madhara madogo ndio hutolewa public.. Hii husaidia sana kuwakata kalima wale wote ambao wangezivujisha kwa ladha na vionjo vyao kabla ya mamlaka!
Afrika na Tanzania na pengine mataifa mengi mengine hayana huo utaratibu.. Na hii hutoa nafasi kwa watu binafsi.. Kuzitafuta taarifa husika na kuzovujisha kwa Jamii kupitia maandiko ya vitabuni machapisho mitandaoni nknk!
Tumeunza mwaka 2025 na machapisho ya mwandishi Erick Kabendera mmojawapo wa wahanga wa utawala wa JPM
Ametoa kitabu kinachoelezea mengi maovu ya JPM katka utawala wake! Mengi kati yake si mageni.. Yalikuwa ni tetesi ambazo zilijadiliwa kwa siri na kwa uoga mkubwa! Hakuna chombo chochote cha habari ama mwandishi binafsi alijaribu kuziweka wazi kama alivyofanya Eric sasa hivi

Kitabu chake hicho kimezua mijadala ya kila aina.. Kuna ambao wamefikia kuishauri mamalaka kukifungia kwakuwa kinamchafua marehemu na kuitia doa ccm na serikali yote
Mimi nashauri kiachwe.. Na mijadala mingi zaidi iruhusiwe na ikiwezekana taarifa zile zipewe majibu ya kweli na ya hhakika
Kwa kufanya hivyo serikali itakuwa imejitua mzigo mkubwa sana na kufunga ukursaha wa hayo mazonge yote ya utawala wa JPM
Jaribio lolote la kutaka kukizuia kitabu cha Kabendera na kuahirisha tatizo ambalo linakuja kuibuka tena na kwa nguvu zaidi katika kipindi ambacho hakina afya sana!
Kwa hiyo umeamini kilichoandikwa kwenye kitabu!??
Watu wanalishwa matongo pori wengi wanaingia kichwa kichwa!
Jiulize kwanini kitabu kinatoka mwaka wa uchaguzi!!?
 
Wazungu kuna kitu wanaita classified information! Hizi ni taarifa kificho zinazofahamika kwa kaliba fulani ya watu ndani ya mamlaka ya nchi..
Hizi huwa ni taarifa za siri zinazowahusu viongozi wa nchi mambo yahusuyo nchi ambazo kama zikivuja kwa wakati huo nchi inaweza kuingia matatani
Huitwa classified information kwakuwa duniani hakuna siri ya mtu mmoja milele.. Hivyo huwa na kipindi maalum cha mpito mpaka zipoe na kuwa na madhara madogo ndio hutolewa public.. Hii husaidia sana kuwakata kalima wale wote ambao wangezivujisha kwa ladha na vionjo vyao kabla ya mamlaka!
Afrika na Tanzania na pengine mataifa mengi mengine hayana huo utaratibu.. Na hii hutoa nafasi kwa watu binafsi.. Kuzitafuta taarifa husika na kuzovujisha kwa Jamii kupitia maandiko ya vitabuni machapisho mitandaoni nknk!
Tumeunza mwaka 2025 na machapisho ya mwandishi Erick Kabendera mmojawapo wa wahanga wa utawala wa JPM
Ametoa kitabu kinachoelezea mengi maovu ya JPM katka utawala wake! Mengi kati yake si mageni.. Yalikuwa ni tetesi ambazo zilijadiliwa kwa siri na kwa uoga mkubwa! Hakuna chombo chochote cha habari ama mwandishi binafsi alijaribu kuziweka wazi kama alivyofanya Eric sasa hivi

Kitabu chake hicho kimezua mijadala ya kila aina.. Kuna ambao wamefikia kuishauri mamalaka kukifungia kwakuwa kinamchafua marehemu na kuitia doa ccm na serikali yote
Mimi nashauri kiachwe.. Na mijadala mingi zaidi iruhusiwe na ikiwezekana taarifa zile zipewe majibu ya kweli na ya hhakika
Kwa kufanya hivyo serikali itakuwa imejitua mzigo mkubwa sana na kufunga ukursaha wa hayo mazonge yote ya utawala wa JPM
Jaribio lolote la kutaka kukizuia kitabu cha Kabendera na kuahirisha tatizo ambalo linakuja kuibuka tena na kwa nguvu zaidi katika kipindi ambacho hakina afya sana!
Chapisho maridhawa sana hili Mkuu
 
Kwa hiyo umeamini kilichoandikwa kwenye kitabu!??
Watu wanalishwa matongo pori wengi wanaingia kichwa kichwa!
Jiulize kwanini kitabu kinatoka mwaka wa uchaguzi!!?
Wapi nimeandika hayo unayosema hapa?
 
Mkuu, claassified huwa zina kawaida ya kuwa classified kwa kuanzia angalau miaka 30. Ulitaka wakina Kabendera wasubiri miaka yote hiyo ndiyo waje na hizo taarifa. Pia Kandera siyo mtu wao wa ndani bali ni Mwandishi wa habari za uchunguzi.
Kuhusu Tz kuwa na sheria za classified, mbona hizo sheria zipo!
Aliyoandika Kabendera kwenye kitabu chake siyo classified Information hata kidogo. Ni ukatili wa Magufuli ambao unatakiwa kuanikwa kwa kadiri iwezekanavyo.
 
Classified information kamwe haziwezi kuwa De-classified kwa hapa bongo, never, hata ipite miaka 100 kamwe taarifa hizo hazitaweza kuwekwa hadharani. Never, never, never, never ever!
Je, umeshawahi kujiuliza ni kwa nini baadhi ya vigogo wa 'ile kampuni' wamekuwa wakifa vifo vya kutatanisha?
Hivi General Imran Kombe alifariki kwa ugonjwa gani vile? Na hivi Mzee Apson Mwang'onda naye alifariki kwa ugonjwa gani vile? Watu mnaofahamu mambo haya naomba mnifahakishe tafadhali sana.
Sokoine alifariki vipi vile!? Au Karume mkubwa alifariki vipi vile!?
 
Mkuu
Mkuu una hiki kitabu unitumie au utume humu? Au kama kuna mwenye nacho atume humu jamani
Kinapatikana Amazon kwa kununua Kindle version. Paperback copies hazijafika kwa bookshops za Tanzania - na huenda zisije😇

Pirated version haipo kwa sasa, labda watu wataweka huko PDF drive (https://www.pdfdrive.com/) baada ya miezi kadhaa
 
Back
Top Bottom