ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Jana nimemsikia Mh. Lissu mwanzo mpaka mwisho
Nikiri kuwa sijasikia kama Freeman atagombea.
Nafahamu kwamba kwa heshima yake kama angekuwa hagombei anawaachia "vijana" basi angeshatoa taarifa mapema kidogo.
Kwa hiyo anaweza kugombea
Sasa nimekuwa najiuliza kama Mbowe ataamua kugombea uenyekiti atakuwa na sababu gani za kuamua kuendelea kuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20.
Declaration of Interest
Namuunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu nzuri alizozitaja jana
Hii ni hoja mufilisi kabisa, inashangaza kutolewa na watu kama hawa. Wanakosaje common sense za kutofautisha nyakati?
Common sense ipi hapo?Hii ni hoja mufilisi kabisa, inashangaza kutolewa na watu kama hawa. Wanakosaje common sense za kutofautisha nyakati?
Ya kulinganisha Nyakati za nchi imetoka kupata uhuru na huu wakati wa sasa.Common sense ipi hapo?
Kukubalika na wanachademaYa kulinganisha Nyakati za nchi imetoka kupata uhuru na huu wakati wa sasa.
Ni kama Lissu alifilisi hii hoja. Alisema kabla hivi hoja ilikuwa sahihi kwa sababu ya uchanga wa chama. Lakini sasa kuna Chadema kila mahali, huwezi kuona wewe pekee ndio unafaa.
BTW weka sababu za Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti kwa zaidi ya 20yrs. Atakuwa na nini kipya ambacho hajakifanya
Mkuu , yaani wewe HAUMJUI? Umewauliza swali ambalo HAWALIPENDI. Zamani walikuwa wana mpopoa MWAMBA leo Wana mpenda tena MWAMBA. vipi?Mahitaji ya cdm ya sasa yanamuhitaji nani?
Mkuu, wote ni wazarendo, ila kuna yule unaye weza kumchezea sharubu, na mwingine hana sharubuwewe unamuunga mkono kibaraka au mzalendo?🐒
Jukwaa la Uwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ni tofauti na jukwaa la TLS lenye wanachama wasiozidi hata 2000!...mabadiliko gani ataleta Lisu, mifumo iliyomyima haki zake ni ile ile inapambana na chadema, mabadiliko aliyoahidi TLS alipochaguliwa kuwq Rais wa TLS alitimiza?
..kwa hiyo uongozi ni ushawishi peke yake? kichaa akisoma udaktari na umefika hospitali na case ya kufanyiwa surgery..utakubali akufanyie upasuaji..? Mwalimu alipokubali mfumo wa vyama vingi uanze, wangapi walisema uanze na wangapi walisema usianze..Jukwaa la Uwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ni tofauti na jukwaa la TLS lenye wanachama wasiozidi hata 2000!.
Mwenyekiti wa CHADEMA ni mtu mwenye ushawishi kote nchini na nje ya nchi (kupitia balozi zilizoko nchini).
Lissu VS MboweJana nimemsikia Mh. Lissu mwanzo mpaka mwisho
Nikiri kuwa sijasikia kama Freeman atagombea.
Nafahamu kwamba kwa heshima yake kama angekuwa hagombei anawaachia "vijana" basi angeshatoa taarifa mapema kidogo.
Kwa hiyo anaweza kugombea
Sasa nimekuwa najiuliza kama Mbowe ataamua kugombea uenyekiti atakuwa na sababu gani za kuamua kuendelea kuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20.
Declaration of Interest
Namuunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu nzuri alizozitaja jana
Jana nimemsikia Mh. Lissu mwanzo mpaka mwisho
Nikiri kuwa sijasikia kama Freeman atagombea.
Nafahamu kwamba kwa heshima yake kama angekuwa hagombei anawaachia "vijana" basi angeshatoa taarifa mapema kidogo.
Kwa hiyo anaweza kugombea
Sasa nimekuwa najiuliza kama Mbowe ataamua kugombea uenyekiti atakuwa na sababu gani za kuamua kuendelea kuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20.
Declaration of Interest
Namuunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu nzuri alizozitaja jana
Kwa karne hii, kujadili eti kuna kiongozi ameshakaa kwenye madaraka kwa muda wa miaka 20 na bado anataka kuongeza iwe 25, ni aibu. Haya mambo yalikuwa yanafanyika miaka ya 1960 na 1970. Miaka ya sasa, binadamu tumeshastaarabika na tumetumia experince na kujua kuwa uongozi usipobadishwa mara kwa mara kunakuwa na disadvantages nyingi kuliko advantages.Sifa alizotaja Lissu jana..ni sifa gani hakuwa nayo wakati Mbowe anagombea uenyekiti mara ya kwanza? Km vile viungo vya mwili vinavyohitajiana na uongozi kwenye kundi ni hivyo hivyo, mkono hauwezi kufanya kazi za kichwa..Lissu hawezi kazi/majukumu ya kuwa Mwenyekiti..anaweza kuwa msaidizi..ukizitambua kazi za kichwa cha mnyama, hizo ndio sifa za Mbowe kuwa Mwenyekiti Chadema..tujifunze kujua vyama vina maelekezo ya waliobeba maono wakati kinaanzishwa vzr kuyazingatia kuliko jazba za ujana..kwa anayesoma vitabu pekee vyenye umri mrefu kupita vitabu vingine vyote..vina mifano ya kutahadhalisha jamii kufuata msimamo wa vijana au kusikiliza maneno yao..9 kati ya 10 yana mwelekeo wa uharibifu na si kujenga.
Kwanini wewe usipumzike?Miaka 20 inamtosha
Alianza na hayati Mkapa, JK, Shujaa hadi Leo zama za Mpendwa Wetu Mh Rais Samia
Apumzike kama alivyoshauriwa na Viongozi wa dini 🐼
Mwambie Mbowe aje atoe tamko, anatutesa sana sisi wapenzi wa chama chake. Aje atoe msimamo wake kieleweke na tusonge mbele, kukaa muda mrefu bila tamko lake, anatutesa kwa kweli.Nadhani tungesubiri kidogo ili labda Kama Mbowe atatangaza kugombea ndio tuanze kujadili
..suala si miaka mingi au michache, kwanza elewa mahitaji, pili pima utayari..aina ya watu mlivyo, rasilimali mlizo nazo, nguvu na mbinu za adui kuwaumiza na tatu pima umbali mliotembea na umbali mnahitaji kufika kule mnakwenda..! Mambo ya ukomo wa uongozi yanafanyika pale palipo na ulinganifu, vitu vingi viko sawa..ni kuonyesha ustaarabu wa jamii inayotaka kusonga mbele.Kwa karne hii, kujadili eti kuna kiongozi ameshakaa kwenye madaraka kwa muda wa miaka 20 na bado anataka kuongeza iwe 25, ni aibu. Haya mambo yalikuwa yanafanyika miaka ya 1960 na 1970. Miaka ya sasa, binadamu tumeshastaarabika na tumetumia experince na kujua kuwa uongozi usipobadishwa mara kwa mara kunakuwa na disadvantages nyingi kuliko advantages.
Mzee ulimwengu amenajisi sifa yake kwa kuja na hoja mfu kama hii.Hii ni hoja mufilisi kabisa, inashangaza kutolewa na watu kama hawa. Wanakosaje common sense za kutofautisha nyakati?
Hata Nyerere alisema wapambe ndio walikuwa wanashadadia aendelee kubaki ili wazidi kula. Kina Ntobi wasifanye tukawafikiria hivyo.
Lakini, sababu za Mbowe kuendelea kubaki ni Nyerere kukaa miaka 20+ madarakani?
Mkuu hata wewe umeshindwa kuelewa matumizi ya neno Vijana? Wala usilinganishe umri. Mbowe kama kaka mkuu itoshe sasa kwa sababu ameshatutendea kadri ya uwezo wake kwa muda mrefu.Hoja ya kuwaachia "vijana" ni hoja dhaifu.Mbowe ana miaka 63 na Lissu ana miaka 56.Hakuna kijana hapo kuna wazee wawili waliopishana umri kidogo.