Tuwe objective: Mbowe ana sababu gani za kuendelea kuwa mwenyekiti wa CHADEMA

Tuwe objective: Mbowe ana sababu gani za kuendelea kuwa mwenyekiti wa CHADEMA

Sifa alizotaja Lissu jana..ni sifa gani hakuwa nayo wakati Mbowe anagombea uenyekiti mara ya kwanza? Km vile viungo vya mwili vinavyohitajiana na uongozi kwenye kundi ni hivyo hivyo, mkono hauwezi kufanya kazi za kichwa..Lissu hawezi kazi/majukumu ya kuwa Mwenyekiti..anaweza kuwa msaidizi..ukizitambua kazi za kichwa cha mnyama, hizo ndio sifa za Mbowe kuwa Mwenyekiti Chadema..tujifunze kujua vyama vina maelekezo ya waliobeba maono wakati kinaanzishwa vzr kuyazingatia kuliko jazba za ujana..kwa anayesoma vitabu pekee vyenye umri mrefu kupita vitabu vingine vyote..vina mifano ya kutahadhalisha jamii kufuata msimamo wa vijana au kusikiliza maneno yao..9 kati ya 10 yana mwelekeo wa uharibifu na si kujenga.
Lisu ni kijana?
 
Jana nimemsikia Mh. Lissu mwanzo mpaka mwisho
Nikiri kuwa sijasikia kama Freeman atagombea.
Nafahamu kwamba kwa heshima yake kama angekuwa hagombei anawaachia "vijana" basi angeshatoa taarifa mapema kidogo.
Kwa hiyo anaweza kugombea

Sasa nimekuwa najiuliza kama Mbowe ataamua kugombea uenyekiti atakuwa na sababu gani za kuamua kuendelea kuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20.

Declaration of Interest
Namuunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu nzuri alizozitaja jana
Kama Lisu hana Element za Usaliti kama za akina Zito Kabwe na Mkumbo hoja zake zinatosha kumpa uenyekiti wa chama, Intelligensia ya chama ichunguze hili, ili ikiwezekana kwa mazingira ya sasa ni vizuri mbowa aka step down ili kumaliza propaganda za akina msigwa na wenzie
 
..siasa za kuwa radical Mtikila alifanikiwa? Mbona hata yeye Lisu ameshindwa kudai stahiki zake za ubunge pamoja na kuwa radical? na nyinyi mbona hamsemi kutaka wadhalimu wamlipe stahiki zake..kipi borà kwake apate stahiki ya jasho lake au kupigania haki za wengine halafu uishi kwa michango..mbona mmeshindwa kumshauri arudishe familia yake hapa nchini, kwenu ni sawa Lissu kuwa hapa peke yake akifanya kazi wakati familia yake iko mbali uhamishoni? Mambo ya uongozi yanahitaji sana sapoti ya familia yako, yeye ni binadamu anahitaji faraja na kutiwa moyo na watu wa karibu naye..wako wapi? Mnaelewa kweli mazingira yanayomzunguka Lisu au vile tu hoja ni Mbowe amekuwa mwenyekiti muda mrefu..!

..siasa za ma'radical hazijafanikiwa.

..siasa za unyenyekevu pia hazijafanikiwa.

..Je, wananchi tufuate kipi?
 
Huwezi kunielewa, kusema uzi wangu nimemtukana Mbowe ni ushahidi kuwa uzi huu umekuzidi kimo na huna uwezo wa kuujadili. Tafuta mtu hapo karibu akujengee uwezo
Mkuu

Hii kusema sijaelewa,sijui uzi umenizidi kimo,ni kujipa cheo cha kutoa uzi na kutupangia jinsi ya kuelewa

Wewe umetoa uzi,kuelewa ni kazi yetu sisi hadhira,usitupangie jinsi ya kuelewa

Kama ulitaka kuelewa unavyotaka wewe,basi hukua na haja ya kutoa huu uzi

Hoja yangu ni kwamba,kama unataka Lissu achukue chama,huna haja ya kumpaka matope Mbowe

Lissu atapata kura zote anazoweza kupata bila haja ya kumdhalilisha Mbowe

Nachoshangaa ni kudhalilisha wanachadema wengine sababu tu mwanachadema wewe unagombea

Wote ni proven beyond reasonable doubt kua ni Chadema damu damu na wana uwezo wa kuongoza na wote tunawaaamini

Atakaepata Uenyekiti apate,sina wasiwasi na yeyote kati yao

Fanya kampeni za kistaarabu,huna haja ya kutupia matope Wanachadema wengine,wote tupo nyumba moja,huna haja yakua counter productive namna hii ndugu!
 
Mkuu

Hii kusema sijaelewa,sijui uzi umenizidi kimo,ni kujipa cheo cha kutoa uzi na kutupangia jinsi ya kuelewa

Wewe umetoa uzi,kuelewa ni kazi yetu sisi hadhira,usitupangie jinsi ya kuelewa

Kama ulitaka kuelewa unavyotaka wewe,basi hukua na haja ya kutoa huu uzi

Hoja yangu ni kwamba,kama unataka Lissu achukue chama,huna haja ya kumpaka matope Mbowe

Lissu atapata kura zote anazoweza kupata bila haja ya kumdhalilisha Mbowe

Nachoshangaa ni kudhalilisha wanachadema wengine sababu tu mwanachadema wewe unagombea

Wote ni proven beyond reasonable doubt kua ni Chadema damu damu na wana uwezo wa kuongoza na wote tunawaaamini

Atakaepata Uenyekiti apate,sina wasiwasi na yeyote kati yao

Fanya kampeni za kistaarabu,huna haja ya kutupia matope Wanachadema wengine,wote tupo nyumba moja,huna haja yakua counter productive namna hii ndugu!
Hebu andika dot tatu hapo nilipomtukana Mbowe
Hebu andika dots tatu hapo Lissu alipompaka matope Mbowe.
Hiki itakusaidia kupunguza mkeka wa hotuba
Otherwise wewe ni mitini usiye na aibu kabisa
 
Jana nimemsikia Mh. Lissu mwanzo mpaka mwisho
Nikiri kuwa sijasikia kama Freeman atagombea.
Nafahamu kwamba kwa heshima yake kama angekuwa hagombei anawaachia "vijana" basi angeshatoa taarifa mapema kidogo.
Kwa hiyo anaweza kugombea

Sasa nimekuwa najiuliza kama Mbowe ataamua kugombea uenyekiti atakuwa na sababu gani za kuamua kuendelea kuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20.

Declaration of Interest
Namuunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu nzuri alizozitaja jana
20 tosha.
 
..siasa za ma'radical hazijafanikiwa.

..siasa za unyenyekevu pia hazijafanikiwa.

..Je, wananchi tufuate kipi?
..uzoefu/trend ndio inatoa cha kufuata, that's why nyakati za sasa hazihitaji radicalism ya Lisu ili chama kifanikiwe..
Vyama vya upinzani Tanzania kwa muda mrefu wmechukulia kazi ya kujenga vyama vyao km part time job, ndio maana wanashindwa kupata majibu yanayotokana na kinachofanyika dhidi yao, lkn majibu yapo km watabadilisha the way they walk na kuongeza umakini kufanya problem analysis wapate majibu ya wakati.
 
Jana nimemsikia Mh. Lissu mwanzo mpaka mwisho
Nikiri kuwa sijasikia kama Freeman atagombea.
Nafahamu kwamba kwa heshima yake kama angekuwa hagombei anawaachia "vijana" basi angeshatoa taarifa mapema kidogo.
Kwa hiyo anaweza kugombea

Sasa nimekuwa najiuliza kama Mbowe ataamua kugombea uenyekiti atakuwa na sababu gani za kuamua kuendelea kuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20.

Declaration of Interest
Namuunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu nzuri alizozitaja jana
""Bila mbowe kusimama imara chadema ingesha jifia zamani""

Wenye jicho la mbali tumeshaona...from the far side.

Anatakiwa ili succession plan iende vizuri alitakiwa for all years mbowe ange muuandaa mtu ambae ni stable Ila kwa lisu naona Kama sio chaguo sahihi Sanaa..
 
Jana nimemsikia Mh. Lissu mwanzo mpaka mwisho
Nikiri kuwa sijasikia kama Freeman atagombea.
Nafahamu kwamba kwa heshima yake kama angekuwa hagombei anawaachia "vijana" basi angeshatoa taarifa mapema kidogo.
Kwa hiyo anaweza kugombea

Sasa nimekuwa najiuliza kama Mbowe ataamua kugombea uenyekiti atakuwa na sababu gani za kuamua kuendelea kuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20.

Declaration of Interest
Namuunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu nzuri alizozitaja jana
Sio kweli familia itamwonaje Fr man lazima na yeye agombee
 
Hebu andika dot tatu hapo nilipomtukana Mbowe
Hebu andika dots tatu hapo Lissu alipompaka matope Mbowe.
Hiki itakusaidia kupunguza mkeka wa hotuba
Otherwise wewe ni mitini usiye na aibu kabisa
Nasema WEWE ndio umeshupalia kumpaka matope mmojawapo bila sababu

Lissu mostly has respect for Mbowe maana Lissu ni kichwa na anajua nini maana ya siasa

Tatizo ni WEWE na wenzako,ambao ni wapambe,mnamtusi na kumtupia matope Mbowe ambae ni mgombea kama alivyo Tundu

Mnataka sasa Mbowe asigombee kabisa,udkiteta mnaomtuhumu nao Mbowe nyie ndio mnataka kuufanya

Strange
 
Nasema WEWE ndio umeshupalia kumpaka matope mmojawapo bila sababu

Lissu mostly has respect for Mbowe maana Lissu ni kichwa na anajua nini maana ya siasa

Tatizo ni WEWE na wenzako,ambao ni wapambe,mnamtusi na kumtupia matope Mbowe ambae ni mgombea kama alivyo Tundu

Mnataka sasa Mbowe asigombee kabisa,udkiteta mnaomtuhumu nao Mbowe nyie ndio mnataka kuufanya

Strange
Andika dots za mimi kumpaka matope Mbowe
 
Ni vizuri pia na Mh.Mbowe naye akataja sababu za yeye kuendelea na uenyekiti na sio kusema eti wanachama ndio wataamua.
Sio hivyo tu aeleze na sababu za kwanini fedha za Chama zinaingia kwenye mfuko Binafsi mbali na account ya Chama.
Binafsi napendekeza Mh.Mbowe aendelee na uenyekiti au Chama kibadili muundo wa uongozi ili nafasi za wenye kugombea ziwe na kura ya vetto kwa pamoja hasa inapofika suala la Ushauri na uamuzi.
 
Fanya kampeni kistaarabu

Acha kupaka mwingine matope kuinua mgombea wako,thats counter productive

Wote ni Chadema na wote wanafaa,wacha mkapige kura huna haja ya kunya mezani
Katika siku nimepoteza muda ni kujadili na hili pumbavu. Nimekuambia nukuu wapi nimemtukana Mbowe umebaki kukenua tu. Ishia zako
 
Sifa alizotaja Lissu jana..ni sifa gani hakuwa nayo wakati Mbowe anagombea uenyekiti mara ya kwanza? Km vile viungo vya mwili vinavyohitajiana na uongozi kwenye kundi ni hivyo hivyo, mkono hauwezi kufanya kazi za kichwa..Lissu hawezi kazi/majukumu ya kuwa Mwenyekiti..anaweza kuwa msaidizi..ukizitambua kazi za kichwa cha mnyama, hizo ndio sifa za Mbowe kuwa Mwenyekiti Chadema..tujifunze kujua vyama vina maelekezo ya waliobeba maono wakati kinaanzishwa vzr kuyazingatia kuliko jazba za ujana..kwa anayesoma vitabu pekee vyenye umri mrefu kupita vitabu vingine vyote..vina mifano ya kutahadhalisha jamii kufuata msimamo wa vijana au kusikiliza maneno yao..9 kati ya 10 yana mwelekeo wa uharibifu na si kujenga.
Succession plan huijui?
 
Katika siku nimepoteza muda ni kujadili na hili pumbavu. Nimekuambia nukuu wapi nimemtukana Mbowe umebaki kukenua tu. Ishia zako
Unamtukana na kumnanga Mbowe

Uzi mzima umefungua kwa ajili hiyo,eti weka nukta tatu,to who?You?GTFOH

Punguza upambe,waache wagombee wote,pigeni kura

Wewe umetoa uzi ni kazi yetu kucomment tunavyotaka,sio unavyotaka wewe!
 
Back
Top Bottom