Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mkuu..alafu unakula kwa stail zote na hawachoki..ila sasa kunasa mimba ni jino moko na havitakagi kondomZa beki tatu si zinakuaga mpya
kwel, kuna dada sura mbovu anaolewa utamu wake hakunaTuwe waaminifu,tuheshimu ndoa zetu na hofu ya Mungu ni muhimu. Vitabu vya dini zote vimekemea uzinzi.
Ila ukweli ni kwamba kila mwanamke ana ladha yake tofauti.Kusema kwamba utamaliza bucha zote nyama ni ileile sio kweli..nyama ni tofauti.
Nakumbuka Sophia alinionya nisimtongoze mate wake,kila nikimuuliza sababu hataki kusema. Siku moja akanitolea uvivu akaniambia Aisha ni mtamu sana,ameshavunja ndoa nyingi tu kwa sababu ya utamu wake. Akasema akikupa penzi huwezi kudhubutu kumuacha.
Ukimwi upo kazini wakuu tuache uzinzi
Sema mama [emoji28][emoji28]Ni kweli kabisa.
Ni kama wanaume tu, kila mwanaume na ladha yake na manjonjo yake.
Rotten generationYaan watu hawaogop kuna Mungu kabisa zinaa imekuw fashion wanaume wanajipa sifa kulala na wanawake wengi wa kila tofauti... kwel kwa Mungu tutalia nakusaga meno
Hapana haifanani radha hata siku moja!Eheee...
Kunatofauti kati ya muhogo wa kuchoma,kuchemsha,kukaanga,kuoka..na kuendelea.
Sasa hebu nikuulize,,hiyo mihogo niliyoitaja [emoji115]inafanana ladha!
Nin kama sio mwanachama wa Aya mamboYaan watu hawaogop kuna Mungu kabisa zinaa imekuw fashion wanaume wanajipa sifa kulala na wanawake wengi wa kila tofauti... kwel kwa Mungu tutalia nakusaga meno
Kwakweli mkuu hata mimi sijajua ni kwanini mademu wengi wazuri hua ni tasteless kabisa. Sijui ni kwavile hua wanatumika sana? Au wengi unakuta walianza michezo hii tangu praimari kwahiyo ni kama wameshaota sugu huko chini? Au pia inawezekana ni kwavile mademu wengi wazuri kitandani hua ni magogo?Nimefurahishwa na comments za weekend, talking about goodies!
Nauliza tu, kuna uhusiano gani kati utamu na sura? Maana wengi wenye sura za wajomba zao ni watamu balaa, wale wenye sura za apple wanaofurahisha macho huko kwingine Mungu anajua.
inaonekana una uzoefu nao sanaNi kweli mkuu..alafu unakula kwa stail zote na hawachoki..ila sasa kunasa mimba ni jino moko na havitakagi kondom
Hii weekend imeanza kivingine kabsaWahuni wa JF watakwambia hebu tuwekee kapicha ka mama zakaria na wengine wakiomba namba yake nao wakaonje 😜😜
@Nokia83 unasikia majonzi ya OKW BOBAN SUNZUkwa kweli hili jambo limenisikitisha sana,limekuja bila taarifa kabisa
Tatizo nn mkuu?@Nokia83 unasikia majonzi ya OKW BOBAN SUNZU
kwani mkuu wewe unalipata Jukwaa la Wakubwa?Tatizo nn mkuu?
Hapana sijawahi fika hukokwani mkuu wewe unalipata Jukwaa la Wakubwa?
@Hannah nitakunyang'anya pasiwediMatatu mengi. Nitakuambia moja.
Ile akishaingiza anakuwa anauzungusha huko ndani kona zote(mauno[emoji23][emoji23][emoji23]) Wengine wanajua kutwanga tu.