Tuwe wakweli! Mchina alishawahi kutoa msaada gani kwa nchi za kiafrica zaidi ya kutuuzia vitu vyenye ubora feki!

Tuwe wakweli! Mchina alishawahi kutoa msaada gani kwa nchi za kiafrica zaidi ya kutuuzia vitu vyenye ubora feki!

Yaani unaona kabisa kusaidiwa na watu wa nje ni kama haki yako hivi huko kichwani kuna funza au ?
 
Baada ya Trump kusitisha misaada Afrika, kumetokea sintofahamu nyingi zikisema, "Haya sasa, huyo Mchina ajitokeze!"

Ukweli ni kwamba Mchina ni mlaghai na mpigaji kuliko hao mabeberu. Angalau, pamoja na kutupiga, wametuwezesha na sisi mdogomdogo kusogea! Nchi zote zilizokopa kwa Mchina na kushindwa kurejesha zimejikuta zikinyang’anywa mali zao, kama ilivyotokea Zambia na Kenya, ambapo viwanja vyao vya ndege vimechukuliwa na kumilikiwa na Mchina mpaka watakaporudisha senti yao ya mwisho.

Tanzania, kipindi cha Kikwete, tulikopa na kuweka rehani gesi yetu yooote ya Mtwara, na sasa inaenda China bure, huku sisi tukiendelea kupikia kuni na mkaa maana gesi haikamatiki kwa Watanzania wengi, hasa vijijini. Mchina aliuziwa Bandari ya Bagamoyo chini ya Kikwete na kupewa mkataba wa miaka 99 bila kulipa kodi kwa masharti dharimu kabisa—masharti ambayo Magufuli aliyakataa na kuupiga chini huo mradi.

Kwa ufupi, hakuna mashetani kwenye vita vya uchumi vya unyonyaji kama China. Bora mzungu, ana utu—siyo Mchina! Kwa hiyo, kama Mmarekani katuachia Mchina, basi tupambane naye! Twaafwaa!
Kwa hiyo wewe unapenda sana kusaidiwa badala ya kujitegemea!..jinga sana
 
Japan, korea mifumo yao kibiashara ya magharibi
 
Japan, korea mifumo yao kibiashara ya magharibi
Japan,Korea,China wote jamii moja and of course China ndie baba yao na ndie aliye influence culture zao kwa sehemu kubwa kukusaidia anza na kumsoma Confucian.
 
Japan,Korea,China wote jamii moja and of course China ndie baba yao na ndie aliye influence culture zao kwa sehemu kubwa kukusaidia anza na kumsoma Confucian.
Wee mavi! Mxiuuuh!
 
Huo ni mtazamo wako.
Kama unataka msaada kwa China utasubiri sana.
China ni partners,bila China hao matajiri wote wa kariakoo wasingekuwepo,Biashara nyingi zilizowatajirisha watu zisingekuwepo,watu walioajiriwa kwenye biashara hizo wasingekuwa na Kazi.
Bidhaa nyingi tunazozitumia zingekuwa zinazalishwa Marekani ni Wazi tusingeweza kumudu kuzimiliki!
Madaraja,Majengo,Bandari,Barabara,nk..Vingekuwa vinajengwa na wazungu basi Africa ingekuwa bado ipo nyuma sana kimaendeleo.
Kwa kweli Idumu China Ili tuendelee kuheshimiana hapa mjini.
-Matajiri wa kariakoo wanaOPT china kwa sababu ndio sehemu ya kupata vitu vilivyo bei chini na ni chini ya biashara.
-Kuhusu Ujenzi wa bandari, madaraja, barabara wachina wanapata tenda kwa sababu wana- quote kwa bei ndogo sana compared to Wazungu ambao wana-quote kwa bei kubwa and eventually wanatengeneza barabara chini ya kiwango kwa sababu bei ndogo.
- Wachina wengi wanalipa mishahara midogo sana, kwenye taasisi zao za kazi (unyonyaji wa kiwango kikubwa) compared to Wazungu wengi wao wanalipa vizuri, ulizia vibarua watakwambia kati ya mchina na mzungu nani ana heshimu sheria za kazi.
-
 
Wanafunzi wengi sana wa Africa wanapata elimu china kupitia China Scholleeship Council .. Tanzania ni mmoja ya waifaidika
 
Japan,Korea,China wote jamii moja and of course China ndie baba yao na ndie aliye influence culture zao kwa sehemu kubwa kukusaidia anza na kumsoma Confucian.
Japan muondoe Japan ameanzisha hadi shirika LA mashirikiano LA kimataifa LA Jaica- Japan international cooperation agency, linatoa misaada kwenye various spheres hadi kwenye customs kule tra.
Korea nao hivyo hivyo wana Koica Yao inasaidia
China ina shirika gani hapa Tanzania
 
Back
Top Bottom