Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thread zote za JF zangu.Habari yako mwenye muda msafi unayesoma thread ya wenye muda mchafu
😂😂😂umemkwaza sana innocent dependent kwa hii thread yako.
Alikuwa hajakufaUko sahihi chief.
Swali la nyongeza:kwani mimba ya nilan inatungwa jamaa alikuwa kashakufa?
Nilan amezaliwa jamaa akiwa hai bado
?Alikuwa hajakufa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kwa sababu "nyuku" ilitumika pande zote kwa wakati mmoja hivyo sensor ikachanganya taarifa.
Anayejua baba wa mtoto ni mama wa mtoto
Labda Ivan magoli yaliyokuwa anapiga kwa Zari yakikuwa kwenye mstari wa goli, Mond akaja kuyaingiza nyavuni rasmiDuuh kweli alooh, Dogo hajafanana na Diamond kabisa, Au mwamba hajafa ??