Tuwe wakweli Nillan anafanana na Ivan sio Diamond

Tuwe wakweli Nillan anafanana na Ivan sio Diamond

Mlienda kuwapima DNA?
Kalia tu hayohayo ya DNA.
Utakuja bambikwa watoto.

Kama hata picha huoni.

Na watu kama mondi hii ndo dawa yao..
Mtoto wa Mondi mpaka sasa ni mmoja tu. Tiffah.

Mkenya kabambika likewise Mobetto.
 
Huyo mtoto alizaliwa akiwa Ivan bado yupo hai. Nisemwaloa lipo dogo kafanana na Ivan mtupu dai hapo hana chake ambane na wanae Daylan na Nasib Jr.
Hata Dylan sio wa kwake ni mtoto wa mwanamziki Jaquar wa Kenya, huyo Domo anajua na ndo mana mama yake Domo hamtaki Hamisa ila Domo anaona aibu kuweka wazi
 
Kama hamna vipimo vya DNA hamuwezi kuyasema haya mnayoyasema..
Na kaeni mkijua HAKUNA baba anayependwa kuambiwa kuwa mtoto sio wake.ikiwa yeye mwenyewe ana ushahidi kuwa Ni wa kwake ndo maana amemkubali.
Hamna vipimo mtasemaje mtoto sio wa kwake?
Kalia tu hayohayo ya DNA.
Utakuja bambikwa watoto.

Kama hata picha huoni.

Na watu kama mondi hii ndo dawa yao..
Mtoto wa Mondi mpaka sasa ni mmoja tu. Tiffah.

Mkenya kabambika likewise Mobetto.
 
kufanana na marhemu sana tu haipingiki ila ka sasa diamond ndio baba ataijua tu.yule dogo hata mikato yake alivofika bongo hana time km vile anapelekwa pelekwa tu haelewi.
Zari mi simuamini hata kidogo,Diamond ajiangalie sana huyo demu sio kuna chaka ataingizwa hadi akome utandale wake ni muda tu.
Nyumba ile tuliambiwa kule mapichapicha kimyaaa nexxt....
 
Yaan hata kipofu anajua hilo,kizari kishenzi sana kilikuwa kinatoa huku na huku ndo maana mondi sahv hawaamin kabsa wanawake,ameamua kuwala tu.......nazan hata mondi analijua hilo nilifuatilia mapokez ya hao watoto kuanzia airport,mall mpaka home,mondi Mara nyingi alkuwa na tiffah
 
Kuna watu wana muda mchafu kweli.

Yani nikae kabisa nianze kumchunguza huyu mtoto kafanana na baba gani?

Labda kama kwenye familia yangu.
Ilitakiwa hata hii mada usichangie kabisa....
kitendo cha ku comment tayari ww ni mshirika ndio walewale tu...
ulichofanya ni ku supplement tu
 
Ndio maana mimi navaa condoms siku zote, usije kunipa kesi sio yangu kabisa. Mimi hizi mimba za bahati mbaya usiniletee maana niko makini sana
 
Siri ya mtoto mama mtu ndio anajua!
Hata mama anaweza pia asijue kwa uhakika muhusika ni yupi, ikiwa kama mama atakuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume zaidi ya mmoja...
Sababu siyo kweli kwamba kila mwanaume anapokutana kimwili na mwanamke basi itasababisha kutungwa kwa Mimba... kuna factors nyingi za ku-consider katika mimba kutungwa.
Mfano, Mwanamke anaweza kukutana kimwili na Mwanaume "A" siku ya JUMATATU halafu mwanamke huyo huyo ALHAMISI akakutana tena kimwili na Mwanaume "B".
Kwa mfano huo kama mwanamke akipata ujauzito hapo hawezi kujua ni wa mwanaume yupi, je ni "A" au "B"... Based on that scenario, for sure hapo hawezi kujua.
Watu waliopo katika Medical Field watakuwa wameshanielewa namaanisha nini.
 
Du
Di mqenyeqe ukichunguza kwenye mapokezi alikuwa close sana na tif kuliko huyo mtoto wa kiume
h basi anajua hata
Ndio maana mimi navaa condoms siku zote, usije kunipa kesi sio yangu kabisa. Mimi hizi mimba za bahati mbaya usiniletee maana niko makini sana
Kwa mkeo unatumia kondom
 
Back
Top Bottom