Tuwe wakweli Nillan anafanana na Ivan sio Diamond

Tuwe wakweli Nillan anafanana na Ivan sio Diamond

Mbona anafanana na kwao. Vimiguu tu kwanza uthibitisho tosha bado kuna vingine wenyewe wanavijua. Unakuta wengine kucha tu zinatambulisha mtoto ni wao. Mama dangote asingekua anampenda nillan kama asingekua mjukuu wake.
 
Mbona anafanana na kwao. Vimiguu tu kwanza uthibitisho tosha bado kuna vingine wenyewe wanavijua. Unakuta wengine kucha tu zinatambulisha mtoto ni wao. Mama dangote asingekua anampenda nillan kama asingekua mjukuu wake.
Mbona zari hawaachi hao watoto peke yao hata sekunde
 
Kuna watu wana muda mchafu kweli.

Yani nikae kabisa nianze kumchunguza huyu mtoto kafanana na baba gani?

Labda kama kwenye familia yangu.
[emoji23][emoji23] binadamu tuna tofautiana sana mtoto wa mtu mwingine anakosesha raha raia mwingine
 
Haki za watoto zizingatiwe, unamwanikaje mtoto mitandaoni bila idhini ya wazazi wake tena kwa mambo ambayo mbeleni yanaweza kumdhuru kisaikolojia, mods futeni huu upuuzi.
 
Haki za watoto zizingatiwe, unamwanikaje mtoto mitandaoni bila idhini ya wazazi wake tena kwa mambo ambayo mbeleni yanaweza kumdhuru kisaikolojia, mods futeni huu upuuzi.
Asingezaliwa na wazazi maarufu tusiongemzungumzia
 
Inaeza kua kwel kafanana na Ivan ila nakataa kuamin kwa miaka yote hii na ukakasi uliokuwepo af simba na uhuni wake wote na ujanja hakuchukua DNA

Simba ana ujanja gani? Yule ni mshamba aliyechangamka tu!
 
Haki za watoto zizingatiwe, unamwanikaje mtoto mitandaoni bila idhini ya wazazi wake tena kwa mambo ambayo mbeleni yanaweza kumdhuru kisaikolojia, mods futeni huu upuuzi.

Hizo Picha amewafuata kuwapiga au Naye amezipata tu mitandaoni?
 
Mkuu ungechungulia tu halafu ungepita hivi[emoji117]..umechangia tena mada..maana yake nini?
Maana yake natimiza haki yangu ya kikatiba na naitendea haki hulka yangu ya kupitia hata mitaa ya Uwanja wa Fisi siku moja moja kukagua mazingira kama muandishi wa habari anayetaka kujua kona zote za mji wake.
 
Maana yake natimiza haki yangu ya kikatiba na naitendea haki hulka yangu ya kupitia hata mitaa ya Uwanja wa Fisi siku moja moja kukagua mazingira kama muandishi wa habari anayetaka kujua kona zote za mji wake.
Sawa, hata mtoa mada, alikuwa anatimiza haki yake kikatiba.sema tunatofautiana namna ya kufikiri,kile kitu ambacho wewe unaona upuuzi,mwingine anaona cha maana,mfano mimi humu kuna jukwaa la watu/ mada zenye kuumiza sana ubongo "jamii intalijensi",mimi watu wa kule naonaga kama wana muda mchafu.lakini ndio wanaonekana wanajadili mambo ya maana.

Ndio tulivyoumbwa mkuu. Tupo tofauti.
 
Back
Top Bottom