Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Sina muda wa kuchunguza sura za watoto wasionihusu na kuwaanzishia thread. Kwanza huo ni unyanyapaa kwa watoto.Ku comment hapa pia ni ishara ya ww kuwa na huo muda ....ni vile hujitambui tuu
Nina muda wa ku comment kuhusu watu wanaochunguza sura za watoto wasiowahusu.
Umeelewa somo au unahitaji mafunzo ya ziada?