Tuwe wakweli Nillan anafanana na Ivan sio Diamond

Tuwe wakweli Nillan anafanana na Ivan sio Diamond

Hata mama anaweza asijue kwa uhakika muhusika, ikiwa kama mama atakuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume zaidi ya mmoja... Maana siyo kila mwanaume anapokutana kimwili na mwanamke basi itasababisha kutungwa kwa Mimba... kuna factors nyingi za ku-consider katika mimba kutungwa.
Mfano, Mwanamke anaweza kukutana kimwili na Mwanaume "A" siku ya JUMATATU halafu mwanamke huyo ALHAMISI akakutana tena kimwili na Mwanaume "B".
Na kama mwanamke huyo akipata ujauzito hapo hawezi kujua ni wa mwanaume yupi je "A" au "B".
Watu waliopo katika Medical Fields watakuwa wameshanielewa namaanisha nini.
Utajiju lakini habari ndio hiyo, we jidai na mimedikol field yako,
watu wana njia za asili za kutambua mtoto wake wa asili,
we endelea na certificate yako huko ya Mediko usitupasue kichwa sisi
 
kufanana na marhemu sana tu haipingiki ila ka sasa diamond ndio baba ataijua tu.yule dogo hata mikato yake alivofika bongo hana time km vile anapelekwa pelekwa tu haelewi.
Zari mi simuamini hata kidogo,Diamond ajiangalie sana huyo demu sio kuna chaka ataingizwa hadi akome utandale wake ni muda tu.
Nyumba ile tuliambiwa kule mapichapicha kimyaaa nexxt....
Haumuamini Kwan ana shida na wewe 😬😬😬.
Utajiju
 
mondi mwenyewe atakuwa anafahamu hilo ila bila kuwa na uhakika 100% ndio maana hawezi mkataa ila hana time naye ,yeye yuko bize na Tiffah
 
Inaeza kua kwel kafanana na Ivan ila nakataa kuamin kwa miaka yote hii na ukakasi uliokuwepo af simba na uhuni wake wote na ujanja hakuchukua DNA
Kwa Zari hawana ujanja Ile familia ni wajuaji na watu WA Mambo mengi. Ona SASA wanavyojokomba Kwa Zari. Unafikiri Tanasha alikimbia nini? . Niishie hapo Mali, uswahili ni kazi.
 
haya kuhusu vipi we umefanana na baba yako? au ulikua nakuambiwa uyo ndo baba yako acha ku m bully mtoto kwani vp diamond kamkataa? acha roho ya kishetani mleta uzi una bully watoto wa watu kama una stress za maisha nenda madale kaombe japo kumwagilia bustani.
 
Kifupi Diamond apime DNA watoto wote ikiwemo Nasseb Junior, Dylan, Nilan, Tifa na wengine kama wapo. Some how irritating.
 
haya kuhusu vipi we umefanana na baba yako? au ulikua nakuambiwa uyo ndo baba yako acha ku m bully mtoto kwani vp diamond kamkataa? acha roho ya kishetani mleta uzi una bully watoto wa watu kama una stress za maisha nenda madale kaombe japo kumwagilia bustani.
jumalokole upo?
 
Kumekucha Sasa Hivi
Fitna, Chuki, Husda, Tabu, Mahangaiko, Dhiki, Mateso,
Acha Tuone
 
Back
Top Bottom