Sina muda wa kuchunguza sura za watoto wasionihusu na kuwaanzishia thread. Kwanza huo ni unyanyapaa kwa watoto.Ku comment hapa pia ni ishara ya ww kuwa na huo muda ....ni vile hujitambui tuu
Sio upuuzi tu.Sawa, hata mtoa mada, alikuwa anatimiza haki yake kikatiba.sema tunatofautiana namna ya kufikiri,kile kitu ambacho wewe unaona upuuzi,mwingine anaona cha maana,mfano mimi humu kuna jukwaa la watu/ mada zenye kuumiza sana ubongo "jamii intalijensi",mimi watu wa kule naonaga kama wana muda mchafu.lakini ndio wanaonekana wanajadili mambo ya maana.
Ndio tulivyoumbwa mkuu. Tupo tofauti.
NimekuelewaSio upuuzi tu.
Kuna hoja kwamba uzi huubunawanyqnyapaa watoto wadogo ambao hawajafik8sha umri wa miaka 18.
Hao mamq zao na baba zao wamwamuq kuwa ma celebrity labda wazazi hao ninsawa kuwajdili mnavyotaka.
Lakini hawa watoto hawajafikia umri wa maamuzi na hawajaamua kuishi maisha hayo na ni watoto wadogo sana.
Hawa ni watoto kwenye familia zao, si picha tu za kufikirika.
Mnawanyanyapaa.
Alisikika akiropoka mlevii mmoja wa komonii akiwa kavimbiwa maharage😀Simba ana ujanja gani? Yule ni mshamba aliyechangamka tu!
Hizi picha kwani si ni familia yao ilishazianika kabla hata hazijapostiwa huku??Haki za watoto zizingatiwe, unamwanikaje mtoto mitandaoni bila idhini ya wazazi wake tena kwa mambo ambayo mbeleni yanaweza kumdhuru kisaikolojia, mods futeni huu upuuzi.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Sasa hapa watanzania mnashabikia nini?
Hata hauko peke yako mkuu. Tangu nimuone pale eapoti nilijua kabisa kitanda hakizai haramu.Nilifikiri niko peke yangu mwenye hayo mawazo...
Haaaaa Haaaaa 😂 kapotea anatafuta bwanaHabari za kipumbavu kama za kina warumi
Hahaha umenena jambo la kweli,kile ni kibibi kidangajiHaaaaa Haaaaa 😂 kapotea anatafuta bwana
Nadhani hiki ndio kilikuwa kisa cha kuzaa na Hamisa ghafla maana alibambikiwa mzigo. Nahisi pia alifumaga sms za Ivan.Hatakama hafanani na Dai,ila Dai katambuliwa kama baba,na ni mwanae.
Kina stress mbaya kabisa, kimekosa bwana,. Kama Vip kichukue tu kije kikufulie hukoHahaha umenena jambo la kweli,kile ni kibibi kidangaji
Hahahah ngoma ya banana zoro imenijia akiliniKitanda hakizai haramu.