Tuwe wawazi: Hivi chai na kahawa unapendelea kunywa nini?

Nitakutafuta one day
 
Kahawa tunaichukia kwasababu tunainywa kavu bila ya kuchanganya na maziwa na sukari!!

Ila onja kahawa ya starbuck utakuja kuhadithia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…