Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,757
- 11,922
Uji ulinishinda muda mrefu😂Ila una nguvu sana. Unasaidia sana kuitunza ndoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uji ulinishinda muda mrefu😂Ila una nguvu sana. Unasaidia sana kuitunza ndoa
Kwanini chaupole wangu? hata ule wa ulezi huwezi??Uji ulinishinda muda mrefu😂
Mzee Kikwete kama mzee Kikwete.!kahawa ya maziwa tangawizi nyingi bila ya sukari pia isikose pilipili manga ya kusaga
Safi sana kaka Brian! Cappuccino ni nini hicho?Napenda sana cappuccino heavy one! After one sip I feel the world drilled like nothing to compare...[emoji477]️
Sijawahi kupika.Kwanini chaupole wangu? hata ule wa ulezi huwezi??
Ntakufundisha vzr sana.. tunakunywa halafu nakukulaSijawahi kupika.
🏃♀️🏃♀️🏃♀️Ntakufundisha vzr sana.. tunakunywa halafu nakukula
Nitakutafuta one dayNimeoa mmarangu mmasai anatokea marangu mtoni. Japo sijafika ukweni huko marangu kutokana na wazazi pia kuwa huku mjini. Nataka mwakani nifanye mpango nikasalimie huko😎 napita kwenu.
Natokea Rombo mkuu. Humu ndani kuna baadhi ya watu wanajua ndugu zangu akiwemo Mamaya. Kalpana pia nafuatilia naweza kuwa na ujamaa nae. Glenn haeleweki anatokea wapi yupo kama mswahili wa chalinze🤣.
Karibu sana 🙂🙃Nitakutafuta one day