Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
1. UjiUkiweka na uji nitakuja kuchagua napenda nini
2. Mtori
3. Chai ya mchaichai ft tangawizi
4. Kahawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. UjiUkiweka na uji nitakuja kuchagua napenda nini
Hukosi shavu dodo mkuuUji everyday morning wa ulezi
Ukiweka na supu ntarudiNaona ni usiku ila lengo langu la kuleta uzi naomba niliweke wazi. Wengi tunapenda kunywa maji ya moto asubuhi ama jioni, ili kupasha tumbo kabla ya chakula kigumu.
Wengi machaguo yetu huangukia kwenye maziwa, chai na kahawa. Sasa naomba kujua, wewe binafsi chaguo lako ni kahawa au chai?
Na kwa nini?
Kunywa cappuccinoChungu banaa[emoji28]
What about now?Ndo ilikua michezo yangu kipindi nipo chuo. Africafe + lato milk, nilikua nahisi nipo Qatar kumbe nipo Mvomero kudadek
Shavu gani tena mtani🤣🤣 ni mazoea tuHukosi shavu dodo mkuu
Nunua kahawa iandae mwenyew hutojutua utaona tofauti kubwa sana na hizi za kununua
bahati nzuri huwa nachukua nyumbani Rombo huko sema bi mdachi ananiandalia. Kisha naend chukua hapo home
nyumban kuna nyumbu zinapiga kahawa hatare. .
Ukiitumia in excessive consumption.Ila kahawa uwe macho, inaongeza pressure.
Uji daily lazima utoke shavu 😂Shavu gani tena mtani🤣🤣 ni mazoea tu
nilipata kula sana chapati utotoni every day for like 5 years kwa hiyo vitu vya ngano siviwez
uji unatengenezwa nyumbani sinywi uji road na wala sipendi kununua maandaz au vitu wanavyopika huko barabarani. Mwaka wa kumi toka nihamie hapa manzese sijawahi nunua chochote hata kitumbua. .
Kahawa ya moshi inanukia nikienda home nitaiba kidogo nikuleteee maana wazee wanauza😀Kuna mtu anatuuziaga spices
Anasema kuna hii kahawa ya Moshi, ni nzuri sana.
Sijawahi ijaribu bado
Aaaah! acha tu, ujobless umebadili kabisa mtindo wa maisha.What about now?
Ila ndiyo ushindwe hata pakti la 200 na cowbell ya mia kweli?Aaaah! acha tu, ujobless umebadili kabisa mtindo wa maisha.
Mkuu mimi sijui kishaka/kichaga ujue😃
Sasa hilo ni kosa lako. Hutakiwi kutumia in excess.!Mimi kahawa hapana, ninamwaka toka niache kutumia kahawa Kuna siku niliweka kahawa nyingi nikanywa hivyohivyo moyo ulianza kudunda kwa nguvu Hadi nausikia ndo ikawa mwisho wangu.
Chai ya rangi SI sana ila iwe na tangawizi na kashagwala.
Tea masala ndio Kila kitu, the best tea masala nilikunywa Zanzibar I felt the aroma of those spices.
In Dar es Salaam I had the best tea masala at Paparoti one cup for 8,000 the mint flavor was waoooh!