Wrevta
JF-Expert Member
- Jan 18, 2023
- 1,442
- 1,731
- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ya Kilimanjaro ni powdered kama Africafe au ni texture kama hizi local coffee?Siuzi kahawa mzeee
Tafuta kahawa ya Kilimanjaro. Aisee naoka wanauza sana big supermarket
huwa nazitafut kwa shida kubwa
africafe hazina maajabu
ndio hizo za kilimanjaro ni powdered coffee na ni instantHiyo ya Kilimanjaro ni powdered kama Africafe au ni texture kama hizi local coffee?
Nikishajipata huo ndo utakua utaratibu wangu aisee.Uji everyday morning wa ulezi
Sanaaa,I like the smell...it'so nice
mazoea tu toka niko mtoto mama anapika uji. Nimeuzoea sasa. .Nikishajipata huo ndo utakua utaratibu wangu aisee.
Ndo ilikua michezo yangu kipindi nipo chuo. Africafe + lato milk, nilikua nahisi nipo Qatar kumbe nipo Mvomero kudadekkahawa napend ya maziwa
mimi hata nimesahau mara ya mwisho kunywa uji wa ulezimazoea tu toka niko mtoto mama anapika uji. Nimeuzoea sasa. .
mimi hata nimesahau mara ya mwisho kunywa uji wa ulezimazoea tu toka niko mtoto mama anapika uji. Nimeuzoea sasa. .
unafeli wap? au unakunyw uji wa mchele😀mimi hata nimesahau mara ya mwisho kunywa uji wa ulezi
Habari mmeku kibobori😀Ila kahawa uwe macho, inaongeza pressure.
kibobori ukanywa wari mwingi wenangwa🤣🤣🤣Najua maisha ni mchezo, wewe panda mimi nifukue, tena kukuachia mbegu Moja ni uumgwana tu.
Hahahahaha familia haina utaratibu wa kupikiana uji. Nikistep out ntahakikisha nalizingatia hilounafeli wap? au unakunyw uji wa mcheleí ½í¸