Tuwe wawazi: Hivi chai na kahawa unapendelea kunywa nini?

Tuwe wawazi: Hivi chai na kahawa unapendelea kunywa nini?

Naona ni usiku ila lengo langu la kuleta uzi naomba niliweke wazi. Wengi tunapenda kunywa maji ya moto asubuhi ama jioni, ili kupasha tumbo kabla ya chakula kigumu.

Wengi machaguo yetu huangukia kwenye maziwa, chai na kahawa. Sasa naomba kujua, wewe binafsi chaguo lako ni kahawa au chai?

Na kwa nini?
Nitaanza na chai baadae kahawa hata chupa tatu
 
Oooh mimi kahawa. Nimeanza recently baada ya kuona chai siielewi asubuhi. Naiona nyepesi mno.
Kahawa is very addictive
Siku nitakukaribisha kikombe cha kahawa 😀 with milk and sugar
 
Me too. Napenda chai ila iwe KAHAWA. Inaleta nguvu mno hasa ikichanganywa na maziwa. Hii mimajani ya chai si mizuri sana ukiacha yale majani ya black tea
Nunua kahawa iandae mwenyew hutojutua utaona tofauti kubwa sana na hizi za kununua
bahati nzuri huwa nachukua nyumbani Rombo huko sema bi mdachi ananiandalia. Kisha naend chukua hapo home

nyumban kuna nyumbu zinapiga kahawa hatare. .
 
Kahawa is very addictive
Siku nitakukaribisha kikombe cha kahawa [emoji3] with milk and sugar
Hahahah halafu umenikumbusha kitu. Baadaye acha nikanunue powder milk na kopo la coffee[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Nunua kahawa iandae mwenyew hutojutua utaona tofauti kubwa sana na hizi za kununua
bahati nzuri huwa nachukua nyumbani Rombo huko sema bi mdachi ananiandalia. Kisha naend chukua hapo home

nyumban kuna nyumbu zinapiga kahawa hatare. .
Sasa si ukichukua tena au kama una kahawa ya kutosha uliyoiandaa uniuzie na mimi mkuu?[emoji38]
 
Hahahah halafu umenikumbusha kitu. Baadaye acha nikanunue powder milk na kopo la coffee[emoji38][emoji38][emoji38]
Nunua lato milk haina ladha kama Nido au nunua maziwa ya pakti fresh. 😀 japo maziw ya pakti sio heavy na wanaweka sana cream
 
Sasa si ukichukua tena au kama una kahawa ya kutosha uliyoiandaa uniuzie na mimi mkuu?[emoji38]
Siuzi kahawa mzeee
Tafuta kahawa ya Kilimanjaro. Aisee naoka wanauza sana big supermarket
huwa nazitafut kwa shida kubwa
africafe hazina maajabu
 
Siuzi kahawa mzeee
Tafuta kahawa ya Kilimanjaro. Aisee naoka wanauza sana big supermarket
huwa nazitafut kwa shida kubwa
africafe hazina maajabu
Okay! Kahawa ya Kilimanjaro... nimekupata mkuu. Ni kweli unywaji wa kahawa una ulevi mkubwa.
 
Napenda chai.....ila iwe na viungo (iliki, karafuu, mdalasini nk)
Sio mchanganyiko wa maji majani ya chai na sukari ukinywa hadi inabakiza ukakasi mdomoni
 
Chqi ya tangawizi na maandazi matano 😂😂😂
 
Okay! Kahawa ya Kilimanjaro... nimekupata mkuu. Ni kweli unywaji wa kahawa una ulevi mkubwa.
Natumia hii pia 👇 haina maajabu kama ya K'njaro
20230517_135704.jpg
 
Mchaichai, tangawizi na maganda ya limau
Hivi nikichukua hayo maganda, mawili yani mchai, limao, nikachota maji ya moto nikatumbukiza vyote, nikasubiri ikapoa nikanywa, vipi hapo au mpaka vichemke jikoni
 
Hivi nikichukua hayo maganda, mawili yani mchai, limao, nikachota maji ya moto nikatumbukiza vyote, nikasubiri ikapoa nikanywa, vipi hapo au mpaka vichemke jikoni
Hiyo pia inafaa. Yuko ndugu mmoja yeye huandaa chai hama hiyo na kuweka kwenye friji ikipoa anakunywa kama sharubati (juice)
 
Back
Top Bottom