Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
haha usinambie mbona kishaka simple sana😀Mkuu mimi sijui kishaka/kichaga ujue😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haha usinambie mbona kishaka simple sana😀Mkuu mimi sijui kishaka/kichaga ujue😃
kwa kwel mvivu wa kupika mtori na chapati. Unaishi na nani wewe binti? usipikeUji daily lazima utoke shavu 😂
Ni lazima yan.
Me kitaa bado nanunua mtori na chapati 1 😜
Sijaishi uchagani, kidogo machame namsikiahaha usinambie mbona kishaka simple sana😀
Mkuu tema mate chini, kuna wakati mambo yanagoma kabisa.Ila ndiyo ushindwe hata pakti la 200 na cowbell ya mia kweli?
Sawa nimekuelewa.!Mkuu tema mate chini, kuna wakati mambo yanagoma kabisa.
Sasa kibobori ni wale panya buku uchagani. Sizungumzii wale Fuko wanaoliwa. Huyu mchanga kibobori maharo anajiita panya buku anayetokea maharo.😀Sijaishi uchagani, kidogo machame namsikia
ChudaaaChai, sababu kahawa chungu
Mimi ni wa marangu Gily kijiji kinaitwa msae ndipo napotokea pale karibu na kanisa kubwa limepakana na shule ya nganyeni! Lkn unapanda juu kidogo kama unaenda lykrimu kule kiunguni🤗Sasa kibobori ni wale panya buku uchagani. Sizungumzii wale Fuko wanaoliwa. Huyu mchanga kibobori maharo anajiita panya buku anayetokea maharo.😀
wa nyumbani huyu. Hivu IamBrianLeeSnr ni mchaga wa wap?
Nimeoa mmarangu mmasai anatokea marangu mtoni. Japo sijafika ukweni huko marangu kutokana na wazazi pia kuwa huku mjini. Nataka mwakani nifanye mpango nikasalimie huko😎 napita kwenu.Mimi ni wa marangu Gily kijiji kinaitwa msae ndipo napotokea pale karibu na kanisa kubwa limepakana na shule ya nganyeni! Lkn unapanda juu kidogo kama unaenda lykrimu kule kiunguni🤗
Kahawa hizo huwa ni zile manufactured!Maziwa fresh, naweka na kahawa ya unga laini isio na chenga taste yake sio ya nchi hii hasa upate maziwa yasio na maji
Kwangu mie ni kama inanipa energy
I love it too😋😍Napenda sana cappuccino heavy one! After one sip I feel the world drilled like nothing to compare...☕️
Ila una nguvu sana. Unasaidia sana kuitunza ndoaHuo mchanganyiko mbona ni hatari