Mimi mbeba box.Do you feel at home living in Tanzania?
50/50View attachment 3067641
Karibuni:
Ndio najivunia. Nafanya biashara zangu kwa utulivu hakuna vurugu na maandamano ya Gen Z kama Kenya.View attachment 3067641
Karibuni:
Niko hapa nadhaniNAVUMILIA KUWA MTANZANIA
Uko hapo wapi?Niko hapa nadhani
Kwenye uvumilivuUko hapo wapi?
Bado sijajielewa kwa yanayoendelea nchini Tanzania.View attachment 3067641
Karibuni: