Tuwe wawazi, Je unajivunia kuwa Mtanzania?

Tuwe wawazi, Je unajivunia kuwa Mtanzania?

Hongeera ila Gen z hawastahili kuandamana mkuu?
Ni mtu mjinga tu ndio atapoteza muda kwenda kuandamana.

Hata ukiandamana hadi baraza la mawaziri likavunjwa, bado huwezi kupata ajira kama huna sifa za kuajiriwa.

Bado huwezi kupata mtaji wa biashara kama huna disprini ya fedha.

Wanaonufaika na maandamano ni wanasiasa. Ni mazingira machache sana yanayohalalisha maandamano hata kwa mwny akili timamu.
 
najivunia sana kuwa mtanzania lakini sijivunii serikali yangu na matukio yanayoendelea hasa kipindi hiki
 
1723483278060.png
 
Yeah , Hii nchi yangu , taifa langu , NAJIVUNIA KUWA MTANZANIA.
 
Najivunia kuwa mlake zone tu,hayo ya utanzania hayanihusu.
 
Pitia habari toka mwezi uanze utafute vya kujivunia. Mbanga za TLS, mauaji ya wanaotuhumiwa wizi, yanayoendelea siasani, olympic, binti aliyedhalilishwa, watoto kupotea, utekwaji
Bado haiondoi utaifa , manyamela ni watu watazaliwa watakufa ,Taifa litabaki.
 
Najivunia kuwa Mtazanzania ila sijivunii kuwa na serikali isiyoheshimu watu wake.

NB: Serikali ya CCM imelaaniwa.
 
Back
Top Bottom