Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Ni mtu mjinga tu ndio atapoteza muda kwenda kuandamana.Hongeera ila Gen z hawastahili kuandamana mkuu?
Uvumilivu wa kufanyaje?Kwenye uvumilivu
Wa kuwa mtzUvumilivu wa kufanyaje?
Ulishawahi kuishi Afrika kusini, Burundi au Nigeria?Wa kuwa mtz
Braza unanilazimisha iwe bojoUlishawahi kuishi Afrika kusini, Burundi au Nigeria?
DRC, Somalia au Haiti?
Asikudanye mtu, shukuru Mungu kuzaliwa Tanzania.
Labda watu kama Lucas ambao Wakiona vidaraja vya ubongo na tazara wanaridhika eti ndo maendeleo yameletwa na ccmView attachment 3067641
Karibuni:
AA wapi labda tupate katiba mpyaIngawa tunachangamoto za maisha tujivunie nchi yetu!
Bado haiondoi utaifa , manyamela ni watu watazaliwa watakufa ,Taifa litabaki.Pitia habari toka mwezi uanze utafute vya kujivunia. Mbanga za TLS, mauaji ya wanaotuhumiwa wizi, yanayoendelea siasani, olympic, binti aliyedhalilishwa, watoto kupotea, utekwaji
Ndiyo hivyo.Braza unanilazimisha iwe bojo