Ipo kiasi tu 😁😁Single parent.kama Una hela lakini
Babu nimwalike mara ya ngap😁Hahaha..............mualike Kwa Dinner hapo Mkuki Mall, Kwa jinsi anavyopenda Kuku anaweza kukubali mwaliko 🤗
Sperm donor & sperm caretaker 😎Mimi mwanaume ninae tunza wanangu pekee yangu ,na huku mama zao wameshaolewa kwingine nitaitwaje mkuu?
Hahahaha nipo upande upi hapo😁Sperm donor & sperm caretaker 😎
Nafikiri Wewe ndio unakurupuka kusoma usiyoyaelewa au kusoma bila Kutumia ufahamuWakati mwingine huwa unakurupuka kuandika tena kwa confidence sana.
Single mother ni mwanamke anayelea mtoto/watoto peke yake bila ya uwepo wa mwanaume pembeni yake, haijalishi huyu mwanamke awe na uwezo kiuchumi au asiwe nao.
Lazima utambue, umuhimu wa mzazi wa kiume kwenye malezi ya mtoto wakati mwingine ni zaidi ya kutoa pesa za matunzo, na ndio maana hata hao single mothers wenye uwezo kiuchumi, bado wanahitaji kwa nguvu uwepo wa mzazi wa kiume pembeni yao.
Pote. Unatunza na kuhudumia mbegu zako.Hahahaha nipo upande upi hapo😁
Mimba ni mafanikio sio lazima iwe tafsiri ya mimba ya mtoto tu.,yusufu naongea hapa😜😜🤪Jana nimeota Nina mimba.niliota nimepima kipimo nikasema Nina mimba.kiukweli sijasex almost 2yrs.nilipokea majibu kwa masikitiko.naombeni tafsiri wakuu.kusema kweli nilikuwa na appointment yabkupiga tukio ila nimeogopa
Mimi mara zote huwa natamani kuijua status ya mtu ninayejadiliana nae kuhusu mambo ya kifamilia,kama ulinisoma vizuri nilisema ili kufikia hatua hiyo zipo sababu za msingi zinazosababisha hili,kujenga familia ni kama kujenga nyumba kama mke na mume wanasikilizana watakaa chini kuyajadili hayo.Kwèñye Ndoa kûna mambo meñgi makuu heshima ikiwepo, kuna Upendo, kûna kutimiziana Ndoto na furaha katika Maisha, n.k
Mwanaume na Mwanamke waliopo ndoani hupaswa kutimiziana haja zào kimwili, kiroho, kihisia na Kiakili
Wewe umchukulie Mkeo Mke Mwingine utegemee unamtimizia haja Zake kihisia?
Kabisa na nina wapenda wanangu hatari ,hata niki wakutanisha na mama zao wanawatumbulia macho tu 😁😁Pote. Unatunza na kuhudumia mbegu zako.
Unaonaje hili swala😉Abee
Watoto wakue tu,! Utasema single faza na single maza kama hayajakukutaUnaonaje hili swala😉
Ili Watu wasikilizane lazima kîla Mtu awe na Ûtu.Mimi mara zote huwa natamani kuijua status ya mtu ninayejadiliana nae kuhusu mambo ya kifamilia,kama ulinisoma vizuri nilisema ili kufikia hatua hiyo zipo sababu za msingi zinazosababisha hili,kujenga familia ni kama kujenga nyumba kama mke na mume wanasikilizana watakaa chini kuyajadili hayo.
Either dini au sababu za uzao,mume anataka watoto nane mke uwezo wake wa kuzaa wanne unasemaje hapo?mimi babu yangu alikuwa na wake tisa (9) na wote walijuana na kuheshimiana hao bibi zangu unataka kusema walikuwa wanateswa kihisia?
kitu gani leo kinawashinda hawa wetu kuwa hivi?well,ukisasa kama ni ukisasa then akigeuka single mama kwa sababu mume kamweleza ukweli kwamba anahitaji watoto zaidi na kufanya siri hawezi aondoke but ataitwa single mama.
Bado unaendelea kukurupuka tu, na kupotosha na maswali yako mengi yasiyo na maana.Nafikiri Wewe ndio unakurupuka kusoma usiyoyaelewa au kusoma bila Kutumia ufahamu
Hii hakuna àmbaye hajui.
Labda nikikuuliza kama kweli hukukurupuka, nini ujûmbe au lengo la àndiko hili?
Nani ambaye hatambui umuhimu wa Malezi ya Baba na Mama Kwa Mtoto?
Kwani Mimi ndiye nimewaambia Watu watengane?
Au yanayoendelea kwèñye jamii Mimi nimechangia Kwa kiasi gani?
Mimi nilichoandika ambacho weñye Akili za kushikiwa hawawezi kuelewa, Kwa Lugha rahisi NI kuwa,
Ili masimango, Kejeli, unyanyapaa, dharau Kwa single mother zipungue kama siô kuisha Kabisa nikashauri Mwanamke lazima ajitegemee Kwa kufanya Kazi Bila kujali ameolewa au hajaolewa.
Kwa uelewa wako, unafikiri Kwa nini Hakuna Kejeli Kwa single Father? Au Kwa jinsi uonavyo unadhani Kwa nini siô tatizo Kwa Wanawake kuolewa na single Father ila Kwa Sisi Wanaume NI tatizo kuoa single mother?
Majibu Yako yatadhihirisha Nani kakurupuka
Nimeogopa kwa kweli .napenda watoto ila kila kitu kiwe kwa mpangoMkuu! Kapate tu utamu sababu inaweza kutokea sio lazima iwe mzagamuano wa leo hata wa mwakani
We waache watapoteanaNimecheka hapa😂😂😂