Tuweke kumbukumbu zetu sawa, huu ndo uchumi wa Magufuli aliouacha, all facts! - Sehemu ya kwanza

Narrow view
 
ndugu. huwezi kuitwa baba mzuri kwa kulisha watoto wako mlo mmoja eti unajenga nyumba nzuri waishi vizuri baadae. kila kitu tufanyacho lazma tukuwe na kias. mtoa mada hajaipinga miradi bali sera ya miradi yenyewe hesab zake ndo zimekuwa na side effects kubwa. kifua chetu kama nchi kilikuwa kidogo. hata mzee nyerere alipapenda dodoma lakin akapima kifua. hata roma haikujengwa kwa siku moja. nashawishika kusema jpm aliipenda hii mirad mikubwa akiwa na nia ovu! huwezi kutenda wema kwa kuvunja sheria, kanuni na taratibu!
 
Kwa JK watu walikuwa wakifanya kazi gani? wakati vijana wengi waligezwa mapunda ya kubeba unga, biashara haramu ilishamili enzi za Jk mpaka kuuza viungo vya arubino,kwenye builder Cheng ndio usiseme watu walikuwa wakifa fojali ya kuhalibu shiling yetu,toka Magufuri ameingia madarakani mbona hatusiki dora kupanda? Magufuri alikuwa kiboko wa Mafisadi na wazembe ni hilo tu.
 
Kuna watu wanatamani wakanushe ila sasa bandiko linaongea kwa takwimu na vithibitisho, yaani mkanushaji inabidi aje na data zake naye tumsikie, hii ngumu kumeza baba[emoji28]
 
Watu hawataki tu kusema ukweli, JPM alipenda miradi mikubwa ya ujenzi kwa kuwa huko kwenye miradi ya ujenzi ndipo Kuna ulaji wa bila kugutukiwa na ndo sababu ya JPM kutomtoa Mfugale Tanroads wanajua walivyokuwa wanapiga deal. Mimi binafsi sikuwahi kumkubali JPM kabisa. Alijivika Umungu mtu, katuharibia uchumi wetu, watu pekee wanaomsifu ni wanufaika wake. Hakuwa na quality za kiuongozi kabisa mfano hai ni jinsi alivyokuwa anatumbua watu majukwaani ili mradi tu ashangiliwe na wananchi . Unabania wafanyakazi kwa kisingizio cha kubana matumizi wakati yeye anasafiri kutoka chato mpaka dsm kwa msafara wa Ma V8 zaidi ya hamsini, kwanini asipande ndege kupunguza matumizi yasiyo ya lazima?.
 
Sijui anajisikiaje huko kaburini. Miaka 6 ya utawala wake amewanyima watumishi wenzake wa umma nyongeza ya mshahara.
 
Upo sahihi kabisa.
 
Hupo sahihi sana, Kipindi cha JK waliokatamba wachache mno na ndiyo kipindi ambacho ujambazi na uporaji wa mali za umma ulipaa lakini hawa Word Bank unaweza kushangaa wanakuambia uchumi ndo ulikuwa lakini sishangai maana hawa watu ndo wale ambao ata pale Congo wanatorosha madini alafu wanakuambia uchumi unakua kwa kasi, lakini ukiyabana watakuamia uchumi unadorora.
 
Kuna watu wanatamani wakanushe ila sasa bandiko linaongea kwa takwimu na vithibitisho, yaani mkanushaji inabidi aje na data zake naye tumsikie, hii ngumu kumeza baba[emoji28]
praise and worship team wame stuck. ukiwa na data na maelezo ya kutosha huwa wanakosa pa kuingilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…