Tuweke list ya mastaa waliotengenezwa na Diamond Platnumz mpaka sasa

Tuweke list ya mastaa waliotengenezwa na Diamond Platnumz mpaka sasa

Mwanaume wa Dar Huyo Hana analojua zaidi ya kula chips!

Huyo Baba levo nimemjua Ni star tangu enzi hizo anaishi kwao Mwanga (Msufini). Anapiga show Lake TanGanyika Beach wahuni tunazama kwa kuogelea.
Na mwanae gazbuti hah
 
Dogo Kwani Dar ni mjini !!!

Umewahi kufika hata Durban (South Africa) uone miji.


Ukute unaishi Sinza ya Tandale kwenye vinyesi unajiona uko mjini [emoji3]
Mkuu tukiwa tunaongea mambo ya mjini usiwe unaitaja Kigoma..unazingua
 
Katika vitu tutaendelea kumshukuru Chibu ni kutuletea mastaa wapya kwenye entertainment industry. Kunaaliowatengeneza direct kutumia mikono yake na kuna waliopata umaarufu kwa kutumia jina lake either kumtukana au kumsifia.

Awa ndio mastaa waliotengenezwa na Diamond Platnumz mfalme wa music Africa.

Rayvanny
Zuchu
Harmonize
Lavalava
Hamisa Mobetto
Tanasha
Baba Levo
Juma Lokole
Mwijaku
Zari the Bosslady
Aliyah
Jonijoo
Carymastory
Esma Platnumz
Mzee Abdul
Uncle Shamte
George Ambangile
Lukamba
Kifesi
Director kenny
................

Nitaendelea
Shigongo.
 
Dogo Kwani Dar ni mjini !!!

Umewahi kufika hata Durban (South Africa) uone miji.


Ukute unaishi Sinza ya Tandale kwenye vinyesi unajiona uko mjini [emoji3]
Dar ni moja kati ya majiji bora Afrika,
 
Katika vitu tutaendelea kumshukuru Chibu ni kutuletea mastaa wapya kwenye entertainment industry. Kunaaliowatengeneza direct kutumia mikono yake na kuna waliopata umaarufu kwa kutumia jina lake either kumtukana au kumsifia.

Awa ndio mastaa waliotengenezwa na Diamond Platnumz mfalme wa music Africa.

Rayvanny
Zuchu
Harmonize
Lavalava
Hamisa Mobetto
Tanasha
Baba Levo
Juma Lokole
Mwijaku
Zari the Bosslady
Aliyah
Jonijoo
Carymastory
Esma Platnumz
Mzee Abdul
Uncle Shamte
George Ambangile
Lukamba
Kifesi
Director kenny
................

Nitaendelea
Sijajua kwa wengine ila mtoe Jonijo.
 
Wengi hapo sio super stars wala celebrities. Ni IG influencers tu unless usijue ni nini maana ya kuwa star

wengine kama

Hamisa alipata mileage zaidi ila sio kwamba alikuwa hajulikani. Toka 2011 miss Tanzania, modelling, video vixen, bongo movies etc

Zari ametengenezewa fan base ya bongo ila Kenya na Uganda tayari alikuwa anajulikana kama East Africa richest socialite hata kabla ya Kudate na Diamond

Jonijo mtoe, tayari alikuwa na fan base kubwa on youtube na IG . Hakuchukuliwa from the scratch kama aliyaah ambaye ukiniambia ni star ntakushangaa
 
Dar ni moja kati ya majiji bora Afrika,
Umetembea majiji gani wewe zwazwa ?

Umewahi kufika walau Nairobi au Cairo?


Nenda hapo Kigali uje uone Dar ilivyo chafu
 
Back
Top Bottom