Pre GE2025 Tuwekee kero za mtaani kwako zinazokufanya uichukie CCM na usiipe kura chaguzi zinazokuja

Pre GE2025 Tuwekee kero za mtaani kwako zinazokufanya uichukie CCM na usiipe kura chaguzi zinazokuja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
1.Kifo cha JPM chenye utata
2.Miradi mingi mfano hospital zinajiendesha kama zahanati, JPM alipoziacha zimeishia hapo
3. Ufisadi wa mali za UMMA Mtu anayefichua ufisadi anaitwa kwenye kamati ya maadili na wabunge wote wa CCM wanamgeuka.
4. Mikataba mibovu mfano ubinafsishwaji wa bandari, kuna siri Serikali imeficha.
5. Matumizi mabaya ya fedha za serikali, Ripoti ya CAG haitiliwi maanani.Takukuru haina meno
6.Mikopo kutoka taasisi za nje ambayo hatuoni impact yake, nafikiri inaenda kulipa posho.
7. Barabara nyingi zimesimama alipoziacha JPM, Mfano hiyo kibaha highway mpaka leo haina vituo vya mwendo kasi.

Nitainyima kura CCM
 
Nidhamu Kwa watumishi WA umma,walikua wameshaanza kuwa na nidhamu lakini siku hizi wanafanya uzembe wazi wazi hakuna wanachohofia!!
Especially mahospitalini!
Hii nchi inawahitaji watu design ya makonda ndo kero zitapungua maana nyingi ni makusudi Tu!!!
 
Kwa hiyo we ndo maji!?
Endeleeni kulialia hivyo hivyo hamjui mnachotaka Wewe unaulizwa maswali vizuri unashindwa kutoa majibu yaliyonyooka unataka Wafanyakazi wote wa DAWASA wafukuzwe kwa uzembe wao unaosababisha nyinyi mkose Maji au unawaonea huruma waendelee kufanya kazi kwa uzembe hivyo hivyo?
 
Endeleeni kulialia hivyo hivyo hamjui mnachotaka Wewe unaulizwa maswali vizuri unashindwa kutoa majibu yaliyonyooka unataka Wafanyakazi wote wa DAWASA wafukuzwe kwa uzembe wao unaosababisha nyinyi mkose Maji au unawaonea huruma waendelee kufanya kazi kwa uzembe hivyo hivyo?
Alafu urejee kwenye mada mada inasema ni kero gani Iko mtaani kwako uilete ili kujenga hoja kwa nini usimchague huyu na chama hiki mfano ulionifanya mimi niamue ni kukoseshwa maji kwa makusudi sijaomba maji kwa mtu yeyote
 
Kama mada inavyojieleza hapo juu natamani tuondokane na siasa za mihemko tuje kwenye siasa za hoja. Kuna wanaJF wanatamani kuamua nani wamchague na nani kwa sababu zipi. Nataka tusaidiane kupata sababu za kuacha watu.

Kwa mfano mimi nakaa Goba kwenye huu mtaa naichukia sana CCM kwa kuacha kutatua kero ya maji kwa makusudi kabisa.

Juzi kati hapa kaja Aweso yametoka siku mbili halafu yamepotea. Kwa hali hii lazima niwaadhibu
Aaah Phylosopher, watu wa upinzani mmeishiwa point za kuwaanbia wananchi mnazitafuta huku JF nini?

Nimewaambia upinzani, mnapofanya mikutano na watu, mnapaswa kuelewa hao ni watu hawaelewi sera. Wapiga kura wa Tanzania majority ni semi illiterates, mnapaswa kutambua hilo. Kuongea nao juu ya sera za upinzani ni sawa na kumpigia mbuzi gita. Ongeeni lugha wanayoifahamu, waambieni Samia kamwaga pikipiki laki tano, sio mkitupa uraisi tutamwaga pikipiki milioni mbili! Kila familia masikini itapata baiskeli moja bure kila baada ya miaka mitano, kwa sababu fedha za kufanya hivyo zipo zinaliwa na viongozi wa CCM, si mnaona walivyo matajiri hadi wananunua timu za mpira kama tajiri wa Chelsea? Mnafikiri pesa za kununa timu wanazipata wapi, wanaiba pesa zenu mnazokatwa miamala!

Msikisema hivyo mkashindwa njooni mnione!
 
Sijui mwenyewe?..mama mwenyewe wakati anafungua lile tank la maji alisema ujenz wa km27 wa barabara hiyo utaanza hv karibuni lkn ni mwaka sasa...
Juzi juzi wakati anaenda kufungua kiwanda cha magari amepita lkn yupo kimya tu
Aulizwe ChoiceVariable , huyu ndio muorodheshaji wa miradi chungu nzima ya miondombinu ambayo mingi yake iko kwenye makaratasi tu.
 
Mitaa na miji kutopangwa, ujenzi holela sana
 
Mvua ililowesha daftari za mwanangu kimsra suks hakuna kituo Cha mwendo kasi
 
Aaah Phylosopher, watu wa upinzani mmeishiwa point za kuwaanbia wananchi mnazitafuta huku JF nini?

Nimewaambia upinzani, mnapofanya mikutano na watu, mnapaswa kuelewa hao ni watu hawaelewi sera. Wapiga kura wa Tanzania majority ni semi illiterates, mnapaswa kutambua hilo. Kuongea nao juu ya sera za upinzani ni sawa na kumpigia mbuzi gita. Ongeeni lugha wanayoifahamu, waambieni Samia kamwaga pikipiki laki tano, sio mkitupa uraisi tutamwaga pikipiki milioni mbili! Kila familia masikini itapata baiskeli moja bure kila baada ya miaka mitano, kwa sababu fedha za kufanya hivyo zipo zinaliwa na viongozi wa CCM, si mnaona walivyo matajiri hadi wananunua timu za mpira kama tajiri wa Chelsea? Mnafikiri pesa za kununa timu wanazipata wapi, wanaiba pesa zenu mnazokatwa miamala!

Msikisema hivyo mkashindwa njooni mnione!
Hapa tunajadili kama wananchi wa kawaida kuhusu masuala yanayowakabili wananchi wa kawaida ambayo yameachwa na viongozi walioomba uongozi ili wayashughulikie
 
Kuanzia mwenyekiti wao chura anaejifanya kiziwi ni wapuuzi hawajali matatizo ya wananchi, ni kulea mafisadi papa nchi wanaitafuna km mchwa na hajali wala hawajali,, kura yangu siwapi
 
Kama mada inavyojieleza hapo juu natamani tuondokane na siasa za mihemko tuje kwenye siasa za hoja. Kuna wanaJF wanatamani kuamua nani wamchague na nani kwa sababu zipi. Nataka tusaidiane kupata sababu za kuacha watu.

Kwa mfano mimi nakaa Goba kwenye huu mtaa naichukia sana CCM kwa kuacha kutatua kero ya maji kwa makusudi kabisa.

Juzi kati hapa kaja Aweso yametoka siku mbili halafu yamepotea. Kwa hali hii lazima niwaadhibu
Kama mada inavyojieleza hapo juu natamani tuondokane na siasa za mihemko tuje kwenye siasa za hoja. Kuna wanaJF wanatamani kuamua nani wamchague na nani kwa sababu zipi. Nataka tusaidiane kupata sababu za kuacha watu.

Kwa mfano mimi nakaa Goba kwenye huu mtaa naichukia sana CCM kwa kuacha kutatua kero ya maji kwa makusudi kabisa.

Juzi kati hapa kaja Aweso yametoka siku mbili halafu yamepotea. Kwa hali hii lazima niwaadhibu
KILA MTAA UNAPIGWA LAMI, MAJI YANATOKA, UMEME UMETULIA, SIJUI MNATAKA TUPIGE KURA WAPI?
 
Back
Top Bottom