Tuwekeze kwa wanawake wanaotupenda zaidi

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] huo mfano wa ruge na nenga umenichekesha sana ....
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] huo mfano wa ruge na nenga umenichekesha sana ....
Ndio uhalisia ulivyo mkuu usicheke πŸ˜… we siku zote ombea uwe nafasi ya Nenga
 
So unakuta zile genuine feelings ziko kwa bill nass ila boss Ruge anakula mzigo kwa sababu tu anampa connections za deals na shows!

Hata boss Ruge angeoa still Nenga angekuwa anaipiga kwa siri na nyumba angejengewa kwa hela za boss Ruge tu.

Ni Kazeze Ni Kazeze!! Kizazaa Gumzo Gumzoo kwa Mabronzoooo Masistaa duuu walimu na wanafunzi NI KAZEZE NI KAZEZE.
 
Money is everything hizo nyingine tunadanganyana hakuna mwanamke atakaye muheshimu mume mwenye hali mbaya kiuchumi na ikotokea basi ni kwa mda tu sio siku zote.
 
Daaaaah mkuu mnatuvuruga sasa itabidi tu tusioe, maana kuna mwanamke mwingine anaweza kukuchenga chenga na kuleta kona kona nyingi mwanzoni ili kukupima km kweli uko serious nae, sasa utajuaje km hizo kona kona ni za kukupima ama ndo hajakuelewa kabsa mazima?!
 
Baada ya chenga usitangulize helaπŸ˜… ficha hela zako na kuwa mbahili kwa muda uone respondent yake! Ukiona tu haelekei kibla jua hapo hamna mtu!
 
Baada ya chenga usitangulize hela[emoji28] ficha hela zako na kuwa mbahili kwa muda uone respondent yake! Ukiona tu haelekei kibla jua hapo hamna mtu!
Hapo sawa, shida vijana wengi akikutana na mazingira hayo atatanguliza punje za mtama km ulimbo wa kumnasa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ni kweli mkuu. Ndio maana wengine tunaongeza(ga) tu wake kila uchwao.
 
Hapo sawa, shida vijana wengi akikutana na mazingira hayo atatanguliza punje za mtama km ulimbo wa kumnasa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hapo ndipo mnapofeli, kuku bandani ataingia ila lazma siku atatoroka bandani tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…