Comrade Liu Yang
Senior Member
- Aug 16, 2023
- 161
- 282
Tag location nije haiwezekan tena ntakuchapa hasa, hebu ntumie na hiyo picha ya for fun[emoji1787][emoji1787]Ila for nini? Ndio natumia sasa njoo unichape
Ila hizi pics mbona zinaonekana kabisa ni fake. Yaan kama kuna watu wanaingia kingi hapo ni wazembe sana.Maisha n magumu kiasi kwamba saivi wadada nnje hawatoki tena,wanajifungia ndani tu anajipga photo lab anapost.
ukinasa unamuita anakuja ndio kashakunasa,utamla na hela utampa..kwake kashaingiza DAY hana hasara, unaona umemuweza nae anaona kakuweza.
win win situation....
Mhmm!! Nipo bhanaSalama kabisa umepotea jukwaani mno
Hii lab imegoma kubust ziwa kabisa!Kama hivi [emoji81][emoji81][emoji81] mtuacheee ushamba ukituisha tutaachaView attachment 2756677
nyege hukufanya uone kila kitu sawa,achaneni kabisa na kitu nyege.Ila hizi pics mbona zinaonekana kabisa ni fake. Yaan kama kuna watu wanaingia kingi hapo ni wazembe sana.
Upo wapi na sijakuona muda?Mhmm!! Nipo bhana
Half Ntakuchapa 😂Upo wapi na sijakuona muda?
Ntakuchekije fanya namnaHalf Ntakuchapa 😂
Ko umenimiss? Nicheck tsap basi 😂😂😉
We si unanifahamu sasa unakosaje namba yangu? 🤣🤣🤣Ntakuchekije fanya namna
Hapo ni sura tu mwili wanakupa wa kwao [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Hii lab imegoma kubust ziwa kabisa!
Mtihani huu 😂We si unanifahamu sasa unakosaje namba yangu? 🤣🤣🤣
Hebu nicheck bhana nakuwait tsap
🤣🤣🤣Mtihani huu 😂
Nani wewe?
Beautiful.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125]View attachment 2756730
Kumbe ndio maana 😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125]View attachment 2756730
Hahhaha nimechati na Beyonce kasema Yuko Bongo😎😎Ndugu watoto wakiume, wavulana, vijana na wanaume wote bila kusahau wazee wetu wanaume
Nawasalimu nyote kwa Jina la Jamuhuri ya wana JF.
Na wote tuseme JF idumu milele.
Ndugu zangu ujio wa app ya photo lab upo mjini na wale wazee wa kuview mapicha picha pamoja na kutumiwa picha tuweni makini sana tujitahidi kuonaa na watoto wa kike, mabinti pamoja na wanawake ana kwa ana (uso kwa uso) na siyo kutegemea kutumiwa picha ndugu zangu.
Teknolojia imekua na kila siku kuna ujio wa vitu vizuri vizuri ili kurahisisha maisha na kupendezesha dunia.
Ujio wa app ya photo lab umefanya picha za wanawake ziwe nzuri zaidi hivyo tujitahidi pia kukutana nao uso kwa uso kabla ya kuanza kuwekeza akili huko.
Naomba kuwasilisha.
Ndio. Hii wanakupa sura tu [emoji23][emoji23][emoji23]Beautiful.
Hii ni ile ya zamani eeh ambayo hawakupi mwili
Watalaam mshajua🤣Beautiful.
Hii ni ile ya zamani eeh ambayo hawakupi mwili
Nakujua ila whatsap sina 😂🤣🤣🤣
Kumbe hunijui? Ningeshangaa sana….?!