Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Jina linaanzia na Fai...
We usinipambanishe na bibi yangu puliiiizzz [emoji23][emoji23][emoji23]
Sio yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina linaanzia na Fai...
Falla sana we mtoto 🤣🤣🤣Kuna kitu umekimbia wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣 umeniambia lkn kwamba anafanana naeWe usinipambanishe na bibi yangu puliiiizzz [emoji23][emoji23][emoji23]
Sio yeye
Falla sana we mtoto [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeniambia lkn kwamba anafanana nae
Nitamtag ohooSaa ngapi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenzio bibi aliniahidi kunipa mume wa dp weldi afu unanigombanisha naye SITAKI
Nitamtag ohoo
Hivi hiyo photolab ina tofauti gani wa kuzungumziwa hivi mbn mm sielewi maana watu walikuwa wanatumia filter snap na app mbalimbali kuedit picha.Sasa naona hii inatrend kupita maemezi n nn nipo nyuma ya pazia?
Ndugu watoto wakiume, wavulana, vijana na wanaume wote bila kusahau wazee wetu wanaume
Nawasalimu nyote kwa Jina la Jamuhuri ya wana JF.
Na wote tuseme JF idumu milele.
Ndugu zangu ujio wa app ya photo lab upo mjini na wale wazee wa kuview mapicha picha pamoja na kutumiwa picha tuweni makini sana tujitahidi kuonaa na watoto wa kike, mabinti pamoja na wanawake ana kwa ana (uso kwa uso) na siyo kutegemea kutumiwa picha ndugu zangu.
Teknolojia imekua na kila siku kuna ujio wa vitu vizuri vizuri ili kurahisisha maisha na kupendezesha dunia.
Ujio wa app ya photo lab umefanya picha za wanawake ziwe nzuri zaidi hivyo tujitahidi pia kukutana nao uso kwa uso kabla ya kuanza kuwekeza akili huko.
Naomba kuwasilisha.
Na vile hujui kubembeleza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamani[emoji39] sijui nianzie wapi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Develop app ya kucounter Deception km Huwezi sungus
Unaongelea fake img na we ukiwa kwa fake Id hujioni ni wale wale
Uzi unaharibika si kitambo kirefu
Unoko unakorezwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila hii App jaman kuna sura hata uweke huko bado zinatisha
Labda sababu ya minguo ile sare sare lkn ni mambo yale yale hakuna la ajabu.Hivi hiyo photolab ina tofauti gani wa kuzungumziwa hivi mbn mm sielewi maana watu walikuwa wanatumia filter snap na app mbalimbali kuedit picha.Sasa naona hii inatrend kupita maemezi n nn nipo nyuma ya pazia?
Mwakitombe anamtomba nani
Maokoto hatutumi mtakuja kuchukua wenyewe gheto..Kikubwa mtume maokoto swala la kukutana live ni nyeti kidogo [emoji1787]
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Angalia vizuri had humu wapo 😂😂Naona huko mjini fb kila mtu ni mrembo 😂
Khakhakhaaaa!!!Watu wamegoma kujikubali, kuna mmoja nimemuona humu kajiphoto lab [emoji23][emoji23][emoji23]
Shogare angalia utaona ni yeye, pamoja na photo lab bado sura imegoma kabisa 🤣Khakhakhaaaa!!!
Kwamba pamoja na hio lab still hakuna maajabu yeyote kachunda ka miee tu hapaa nyieee teknolojia inatuletea hekaheka sio kidogo!!Shogare angalia utaona ni yeye, pamoja na photo lab bado sura imegoma kabisa 🤣
Hiv watu kwann hawajikubali?
Bado imegoma nimecheka 😂😂😂Kwamba pamoja na hio lab still hakuna maajabu yeyote nyieee teknolojia inatuletea hekaheka sio kidogo!!