Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Hizo ndio zenyewe mnakua mnatumbuana huku mnabebishana
Me napenda kumtumbua mtu vichunusi, sisy mpk ananifukuza yani nitamvizia mpk nimtoe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ndio zenyewe mnakua mnatumbuana huku mnabebishana
Ngoja nitafute yako basi maana mnanichanganya mmefanana sana, naweka fasta hapa
[emoji57]
mwanaume hapendewi suraIla hata nyie mnasura ngumu
PoaMaua vipi tena [emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787] acha masiharaMe napenda kumtumbua mtu vichunusi, sisy mpk ananifukuza yani nitamvizia mpk nimtoe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787] acha masihara
Mbona hakuna mabadiliko? Uhalisia na photolab zimelinganaa asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787] una kiranga wewe??
Mbona hakuna mabadiliko? Uhalisia na photolab zimelinganaa asee
Nani huyo au yule Mmama..Afu kuna anafanana naye huyu dada yupo humu 🤣🤣🤣
ndo wewe sioKAMA HII HAPA
View attachment 2756439
Duuh na kutumia kote huko photolab bado picha mbovu. Ifikie hatua mjikubali tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
🤣🤣🤣Kuna dada mtu mzima eti anaedit anaweka stutus..akili zingine bwanaImekaa kitoto sana....
Ukiona mtu mzima na akili zake ametumia hizo editing kuna shida mahali...
Nani huyo au yule Mmama..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna dada mtu mzima eti anaedit anaweka stutus..akili zingine bwana
Huyu hapa pembeni.😁Dada ukalale, shem umemuacha na nani? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jina linaanzia na Fai...Yupi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu hapa pembeni.[emoji16]