Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
[emoji23][emoji23]Sasa si wajikubali [emoji1787][emoji1787]
Mbona mi mbaya lkn najikubali, nina chunusi km fenesi, mfupi km wale watu wa Kongo lkn najikubali [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Sasa si wajikubali [emoji1787][emoji1787]
Mbona mi mbaya lkn najikubali, nina chunusi km fenesi, mfupi km wale watu wa Kongo lkn najikubali [emoji23][emoji23][emoji23]
Dada wa brands kwenye ubora wako[emoji23]Kazi wanayo, mimi hata photoshoot sijawahi kwenda kupoteza muda wangu.
Napigia kisimu changu biashara imeisha, sijichoshi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja niinstall hiyo photolab niweke pic yako moja nione itakuaje[emoji23][emoji23][emoji23]Watu wanahangaika acha tu!
Wameji edit na kila aina ya mafilter wapi sura zimegoma,
Wamepigia pic juani wapate rangi lkn wapi!!
Ss hivi wameamua waingie kwenye hiyo photo lab…… ss outfit zinawaumbua wamekua sare sare maua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23]
Dada wa brands kwenye ubora wako[emoji23]
Ndugu zangu ujio wa app ya photo lab upo mjini na wale wazee wa kuview mapicha picha pamoja na kutumiwa picha tuweni makini sana tujitahidi kuonaa na watoto wa kike, mabinti pamoja na wanawake ana kwa ana (uso kwa uso) na siyo kutegemea kutumiwa picha ndugu zangu.... jamani anzisheni mada za kuchochea mawazo ya kulipelekea taifa mbele - changamoto za kijamii, kiuchumi, kisiasa, kimaadili, ajira, n.k. Hizi akili za kila mara kuwaza katikati ya magoti na kitovu cha mwanamke, "Tigers of the East" tutaendelea kuimba kama kasuku tu.
Ngoja niinstall hiyo photolab niweke pic yako moja nione itakuaje[emoji23][emoji23][emoji23]
Majibu hapahapa
Hapo kwenye chunusi umetupiga sana, punguza basi ama vipi[emoji23]Watu na sura zetu personal [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila hata nyie mnasura ngumu
Tatizo mnafanana sana hadi miandiko[emoji1787][emoji1787], hebu mtag basi aje hapa ban si inakaribia kuishaNdio vitu gani tena? Wewe umelewa unahisi me mkeo?? [emoji28]
Ngoja niweke photolab moja tu au?Me nimejikubali nilivyo mkuu [emoji1787]
Najijua nna sura la mtoko wa sherehe ya mwenge inatosha [emoji23][emoji23]
Hapo kwenye chunusi umetupiga sana, punguza basi ama vipi[emoji23]
Lamomy 😘Maua [emoji8]
Tatizo mnafanana sana hadi miandiko[emoji1787][emoji1787], hebu mtag basi aje hapa ban si inakaribia kuisha
Ngoja niweke photolab moja tu au?
Hizo ndio zenyewe mnakua mnatumbuana huku mnabebishanaKweli ninazo nyingi, kila lotion inadunda. Nishachoka ss hivi muhimu kujikubali [emoji23]
Ngoja nitafute yako basi maana mnanichanganya mmefanana sana, naweka fasta hapaIwe yangu kweli, usilete ya cute ukazua kivumbi hapa [emoji1787][emoji1787]
😏[emoji6]