Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Na nauli wanatuma acha waliwe tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Kuna mmoja humu alitoa ushuhuda, alikutana na bonge la mama jeusi afu nene [emoji23][emoji23][emoji23]

Kabla hawajameet, unaambiwa full mibebishano kimalkia cha kuunga na bigijii kingi, lahaulah!! lakwata! Kumuona live age ya mama ake mzazi, yani anamzaa huku anapiga deki [emoji23][emoji23][emoji23]
 
... jamani anzisheni mada za kuchochea mawazo ya kulipelekea taifa mbele - changamoto za kijamii, kiuchumi, kisiasa, kimaadili, ajira, n.k. Hizi akili za kila mara kuwaza katikati ya magoti na kitovu cha mwanamke, "Tigers of the East" tutaendelea kuimba kama kasuku tu.
Viongozi wenyewe wapo wapi wa kusikiliza na kuimplement .. Nchi inayowaamini machawa kuliko watu professional na wasomi..
 
Develop app ya kucounter Deception km Huwezi sungus
Unaongelea fake img na we ukiwa kwa fake Id hujioni ni wale wale
Uzi unaharibika si kitambo kirefu
Unoko unakorezwa
 
Ndo wapi uko? 😂😂
1695241881705.png
 
Kijana mbona kitambo tu kuna Adobe photoshop, hawawezi kutuma picha kwa social media bila kuzigusa kidogo
 
Back
Top Bottom