Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Nikikuta mtu amejipost na hiyo app namshusha thamani sana
Imekaaa kitoto sana
Me naishia kumcheka afu namblock, siwezi kuwa na namba za wapuuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikikuta mtu amejipost na hiyo app namshusha thamani sana
Imekaaa kitoto sana
Ni nani? Ni ke au me?Watu wamegoma kujikubali, kuna mmoja nimemuona humu kajiphoto lab [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata akiwa odo?[emoji23][emoji23]Me naishia kumcheka afu namblock, siwezi kuwa na namba za wapuuzi
Ni nani? Ni ke au me?
Hata akiwa odo?[emoji23][emoji23]
[emoji2956]Ndugu watoto wakiume, wavulana, vijana na wanaume wote bila kusahau wazee wetu wanaume
Nawasalimu nyote kwa Jina la Jamuhuri ya wana JF.
Na wote tuseme JF idumu milele.
Ndugu zangu ujio wa app ya photo lab upo mjini na wale wazee wa kuview mapicha picha pamoja na kutumiwa picha tuweni makini sana tujitahidi kuonaa na watoto wa kike, mabinti pamoja na wanawake ana kwa ana (uso kwa uso) na siyo kutegemea kutumiwa picha ndugu zangu.
Teknolojia imekua na kila siku kuna ujio wa vitu vizuri vizuri ili kurahisisha maisha na kupendezesha dunia.
Ujio wa app ya photo lab umefanya picha za wanawake ziwe nzuri zaidi hivyo tujitahidi pia kukutana nao uso kwa uso kabla ya kuanza kuwekeza akili huko.
Naomba kuwasilisha.
HakikaKutumia hizi Apps za editing ni dalili ya kutokujiamini au kujikataa wewe mwenyewe.
Weka sampuliNdugu watoto wakiume, wavulana, vijana na wanaume wote bila kusahau wazee wetu wanaume
Nawasalimu nyote kwa Jina la Jamuhuri ya wana JF.
Na wote tuseme JF idumu milele.
Ndugu zangu ujio wa app ya photo lab upo mjini na wale wazee wa kuview mapicha picha pamoja na kutumiwa picha tuweni makini sana tujitahidi kuonaa na watoto wa kike, mabinti pamoja na wanawake ana kwa ana (uso kwa uso) na siyo kutegemea kutumiwa picha ndugu zangu.
Teknolojia imekua na kila siku kuna ujio wa vitu vizuri vizuri ili kurahisisha maisha na kupendezesha dunia.
Ujio wa app ya photo lab umefanya picha za wanawake ziwe nzuri zaidi hivyo tujitahidi pia kukutana nao uso kwa uso kabla ya kuanza kuwekeza akili huko.
Naomba kuwasilisha.
Aisee.. Najiona mimi kupitia hii komenti.Yaan mim kama hana tako na sio mweusi...nafsi hairidhiki...yaan yale ma BBW
Huko fb ni kivumbi na jasho wamevaa sare...chezea photolab wewe 🤣🤣🤣🤣Me naishia kumcheka afu namblock, siwezi kuwa na namba za wapuuzi
Hii thread, nashauri ifungwe tu, kwa sababu haina ushaidi 😋😋na hizo picha ulizoweka kweli hii technology ni hatari.
kumbe una mdogo wako jamani😋Sikuwa naijua mpaka last weekend mdogo wangu akanambia simu yako ina Gbs. Nimdownlodie photo lab.
Nikamuuliza ni nini? Akanishangaa why sijui 🤣 na wakati anajua circle yangu ina mishangazi tupu.. tutajulia wapi
Dogo akashinda na simu yangu.. kilichotokea kiko Avatar 🤣🤣💥
NB. Ni mpuuzi pekee ndio atashindwa kutofautisha picha halisi na photo lab.
kuna mdada nilimwona mitandaoni uko alikuwa na kasura poa sana halaf mdogomdogo sa bana lahaula lakwata nimemwona laivu looh ana kilometa za kutosha na wa kawaida tu wala ana maajabu yyoteHuko fb ni kivumbi na jasho wamevaa sare...chezea photolab wewe 🤣🤣🤣🤣
Huko fb ni kivumbi na jasho wamevaa sare...chezea photolab wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
msiwalaumu sana, kuwa mzuri ni bahati sio kila mtu anapata😂Kazi wanayo, mimi hata photoshoot sijawahi kwenda kupoteza muda wangu.
Napigia kisimu changu biashara imeisha, sijichoshi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]