Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

... jamani anzisheni mada za kuchochea mawazo ya kulipelekea taifa mbele - changamoto za kijamii, kiuchumi, kisiasa, kimaadili, ajira, n.k. Hizi akili za kila mara kuwaza katikati ya magoti na kitovu cha mwanamke, "Tigers of the East" tutaendelea kuimba kama kasuku tu.
Zina jukwaa lake nenda huko utazikuta na ukiona hivyo ujue ww ndio umeingia jukwaa ambalo halikuhusu.

Mfano sijawahi kumuona mshana, kelsea, kalpana kwenye jukwaa la wazee wa kubet hii inaonesha sio wapenzi huko.

So tafuta jukwaa la maendeleo utawakuta wadau wenzako huko.
 
Ndugu watoto wakiume, wavulana, vijana na wanaume wote bila kusahau wazee wetu wanaume

Nawasalimu nyote kwa Jina la Jamuhuri ya wana JF.

Na wote tuseme JF idumu milele.

Ndugu zangu ujio wa app ya photo lab upo mjini na wale wazee wa kuview mapicha picha pamoja na kutumiwa picha tuweni makini sana tujitahidi kuonaa na watoto wa kike, mabinti pamoja na wanawake ana kwa ana (uso kwa uso) na siyo kutegemea kutumiwa picha ndugu zangu.

Teknolojia imekua na kila siku kuna ujio wa vitu vizuri vizuri ili kurahisisha maisha na kupendezesha dunia.

Ujio wa app ya photo lab umefanya picha za wanawake ziwe nzuri zaidi hivyo tujitahidi pia kukutana nao uso kwa uso kabla ya kuanza kuwekeza akili huko.

Naomba kuwasilisha.
Kwa kweli aliyetengeneza filters ameharibu mambo hasa kwa sie madomo zege ambao tunategemea badoo tinder na hi5 kupata mbususu.
Unaingia mkenge hivi hivi sema basi tuu kwa kuwa ulishalipia lodge inabidi tuu ugegede kwa shingo upande
 
... jamani anzisheni mada za kuchochea mawazo ya kulipelekea taifa mbele - changamoto za kijamii, kiuchumi, kisiasa, kimaadili, ajira, n.k. Hizi akili za kila mara kuwaza katikati ya magoti na kitovu cha mwanamke, "Tigers of the East" tutaendelea kuimba kama kasuku tu.
Leta basi Financial statement ya TIGO tuanze kuijadili mkuu...

#YNWA
 
Bora Face app na snap, ila photo lab hata kuiona sitakiiii.
Iko too fakee, afu kujua kuwa sio halisii ni dkk chee tyuuu.

Ajabu na wanaume wanatumia pia. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Me nabaki nawacheka, zile outfit ndo zinawaumbua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na wanaume mafisi watapigwa sana
 
Bado kuna watu wanatumia mkabala huu wa picha .........!
........................................................
 
Kwa kweli aliyetengeneza filters ameharibu mambo hasa kwa sie madomo zege ambao tunategemea badoo tinder na hi5 kupata mbususu.
Unaingia mkenge hivi hivi sema basi tuu kwa kuwa ulishalipia lodge inabidi tuu ugegede kwa shingo upande
Unagegeda hivyo hivyo huku unavuta hisia na picha yake aliyo edit na photo lab.. akili inabidi iwe huko asee. Huku chuma kipo chini
 
Back
Top Bottom