Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Maisha n magumu kiasi kwamba saivi wadada nnje hawatoki tena,wanajifungia ndani tu anajipga photo lab anapost.

ukinasa unamuita anakuja ndio kashakunasa,utamla na hela utampa..kwake kashaingiza DAY hana hasara, unaona umemuweza nae anaona kakuweza.

win win situation....
 
Maisha n magumu kiasi kwamba saivi wadada nnje hawatoki tena,wanajifungia ndani tu anajipga photo lab anapost.

ukinasa unamuita anakuja ndio kashakunasa,utamla na hela utampa..kwake kashaingiza DAY hana hasara, unaona umemuweza nae anaona kakuweza.

win win situation....
Ila hizi pics mbona zinaonekana kabisa ni fake. Yaan kama kuna watu wanaingia kingi hapo ni wazembe sana.
 
Ndugu watoto wakiume, wavulana, vijana na wanaume wote bila kusahau wazee wetu wanaume

Nawasalimu nyote kwa Jina la Jamuhuri ya wana JF.

Na wote tuseme JF idumu milele.

Ndugu zangu ujio wa app ya photo lab upo mjini na wale wazee wa kuview mapicha picha pamoja na kutumiwa picha tuweni makini sana tujitahidi kuonaa na watoto wa kike, mabinti pamoja na wanawake ana kwa ana (uso kwa uso) na siyo kutegemea kutumiwa picha ndugu zangu.

Teknolojia imekua na kila siku kuna ujio wa vitu vizuri vizuri ili kurahisisha maisha na kupendezesha dunia.

Ujio wa app ya photo lab umefanya picha za wanawake ziwe nzuri zaidi hivyo tujitahidi pia kukutana nao uso kwa uso kabla ya kuanza kuwekeza akili huko.

Naomba kuwasilisha.
Hahhaha nimechati na Beyonce kasema Yuko Bongo😎😎
 
Back
Top Bottom