Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Hilo limezingatiwa na maji ya betri kwaajiri ya kuchachua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nacheka km chizi hapa
Leo una mpango nichelewe kulala? Si nimekuambia nilipotoka muda mfupi uliopita?? Ile huzuni imeanza kupoa sababu ya haya masihara yako[emoji23][emoji23]
 
Hebu leo watuambie wana shida gani? [emoji1787][emoji1787]
mshamba_hachekwi nini mbaya wewe na Countrywide mliwahi kutongoza sehemu moja au mmechukuliana dem? [emoji23][emoji23][emoji23]

Hebu fungukeni leo
Hatuna shida bana. Labda nianze ku-load files kichwani nione anaangukia wapi huyu. Kichwa Ina mambo mengi nasahau sana[emoji23]
 
Back
Top Bottom