Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Tunafahamiana kwani kaka?
Me mgeni humu, emu nikumbushe [emoji1787][emoji1787]
Najua hapa kweli ni mgeni, lkn mtaani kwangu tu majirani.

Jinga sana lkn.
NAkausha lkn😅😅😅
 
Wamatumbi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza wanapenda kukopa, kulipa shida
Wacongo anachukua pisi 200 kwa cash zote og na bado anakupa order ulete na zingine na advance anatoa kabla hata ya mzigo.

Sema cute kanifundisha vingi aisee [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom