othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Zina jukwaa lake nenda huko utazikuta na ukiona hivyo ujue ww ndio umeingia jukwaa ambalo halikuhusu.... jamani anzisheni mada za kuchochea mawazo ya kulipelekea taifa mbele - changamoto za kijamii, kiuchumi, kisiasa, kimaadili, ajira, n.k. Hizi akili za kila mara kuwaza katikati ya magoti na kitovu cha mwanamke, "Tigers of the East" tutaendelea kuimba kama kasuku tu.
Wengine wamevaa casual, jeans ya machejo na tshet kalii na air Jordan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanaume tunazidi kupungua
Sio poa kweli full tafrani 🤣🤣🤣🙌Wengine wamevaa casual, jeans ya machejo na tshet kalii na air Jordan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Full tafraniii
Watu hawatakii kupitwaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio poa kweli full tafrani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Kwa kweli aliyetengeneza filters ameharibu mambo hasa kwa sie madomo zege ambao tunategemea badoo tinder na hi5 kupata mbususu.Ndugu watoto wakiume, wavulana, vijana na wanaume wote bila kusahau wazee wetu wanaume
Nawasalimu nyote kwa Jina la Jamuhuri ya wana JF.
Na wote tuseme JF idumu milele.
Ndugu zangu ujio wa app ya photo lab upo mjini na wale wazee wa kuview mapicha picha pamoja na kutumiwa picha tuweni makini sana tujitahidi kuonaa na watoto wa kike, mabinti pamoja na wanawake ana kwa ana (uso kwa uso) na siyo kutegemea kutumiwa picha ndugu zangu.
Teknolojia imekua na kila siku kuna ujio wa vitu vizuri vizuri ili kurahisisha maisha na kupendezesha dunia.
Ujio wa app ya photo lab umefanya picha za wanawake ziwe nzuri zaidi hivyo tujitahidi pia kukutana nao uso kwa uso kabla ya kuanza kuwekeza akili huko.
Naomba kuwasilisha.
Leta basi Financial statement ya TIGO tuanze kuijadili mkuu...... jamani anzisheni mada za kuchochea mawazo ya kulipelekea taifa mbele - changamoto za kijamii, kiuchumi, kisiasa, kimaadili, ajira, n.k. Hizi akili za kila mara kuwaza katikati ya magoti na kitovu cha mwanamke, "Tigers of the East" tutaendelea kuimba kama kasuku tu.
Inauma ila utafanyeje adhabu yake ni kumkunja kisawasawaKwa kweli aliyetengeneza filters ameharibu mambo hasa kwa sie madomo zege ambao tunategemea badoo tinder na hi5 kupata mbususu.
Unaingia mkenge hivi hivi sema basi tuu kwa kuwa ulishalipia lodge inabidi tuu ugegede kwa shingo upande
Sura nzuri inaongeza mzukaMi ugonjwa wangu ni tako na weusi...sura sihitaji
Bora Face app na snap, ila photo lab hata kuiona sitakiiii.
Iko too fakee, afu kujua kuwa sio halisii ni dkk chee tyuuu.
Ajabu na wanaume wanatumia pia. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan mim kama hana tako na sio mweusi...nafsi hairidhiki...yaan yale ma BBWSura nzuri inaongeza mzuka
Ni ujinga tu mwanaume kutumia masnap.🤣🤣🤣 wanaume tunazidi kupungua
Mi ugonjwa wangu ni tako na weusi...sura sihitaji
aiseeYaan mim kama hana tako na sio mweusi...nafsi hairidhiki...yaan yale ma BBW
Umesema vyemaNi ujinga tu mwanaume kutumia masnap.
Ni udhaifu na kukosa kujiamini.
Unagegeda hivyo hivyo huku unavuta hisia na picha yake aliyo edit na photo lab.. akili inabidi iwe huko asee. Huku chuma kipo chiniKwa kweli aliyetengeneza filters ameharibu mambo hasa kwa sie madomo zege ambao tunategemea badoo tinder na hi5 kupata mbususu.
Unaingia mkenge hivi hivi sema basi tuu kwa kuwa ulishalipia lodge inabidi tuu ugegede kwa shingo upande
Mkuu huo mtandao hadi hayo makitu unawapa mzee, sasa ngoja uingie mkenge..dawa ni kukutana ana kwa ana unachagua mali yako kwa macho huku ukiona vitu live hatakama ni mchinaMi ugonjwa wangu ni tako na weusi...sura sihitaji