Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Zina jukwaa lake nenda huko utazikuta na ukiona hivyo ujue ww ndio umeingia jukwaa ambalo halikuhusu.

Mfano sijawahi kumuona mshana, kelsea, kalpana kwenye jukwaa la wazee wa kubet hii inaonesha sio wapenzi huko.

So tafuta jukwaa la maendeleo utawakuta wadau wenzako huko.
 
Kwa kweli aliyetengeneza filters ameharibu mambo hasa kwa sie madomo zege ambao tunategemea badoo tinder na hi5 kupata mbususu.
Unaingia mkenge hivi hivi sema basi tuu kwa kuwa ulishalipia lodge inabidi tuu ugegede kwa shingo upande
 
Leta basi Financial statement ya TIGO tuanze kuijadili mkuu...

#YNWA
 
Bora Face app na snap, ila photo lab hata kuiona sitakiiii.
Iko too fakee, afu kujua kuwa sio halisii ni dkk chee tyuuu.

Ajabu na wanaume wanatumia pia. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Me nabaki nawacheka, zile outfit ndo zinawaumbua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na wanaume mafisi watapigwa sana
 
Bado kuna watu wanatumia mkabala huu wa picha .........!
........................................................
 
Kwa kweli aliyetengeneza filters ameharibu mambo hasa kwa sie madomo zege ambao tunategemea badoo tinder na hi5 kupata mbususu.
Unaingia mkenge hivi hivi sema basi tuu kwa kuwa ulishalipia lodge inabidi tuu ugegede kwa shingo upande
Unagegeda hivyo hivyo huku unavuta hisia na picha yake aliyo edit na photo lab.. akili inabidi iwe huko asee. Huku chuma kipo chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…