Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Muhazina ndio Chali na Ile miwani yake ya siku ya ndoa ndio ilimfanya aonekane tapeli kabisa
🀣🀣🀣🀣
Aiseeee!! Sasa tutafanyaje jamani?
Basi wajumbe tuandamane wenyewe mpk kieleweke πŸ˜‚
 
Utaiona soon Mjukuu, nakutumia na hela ya emergency njiani incase utaona chochote cha kununua πŸ€ͺ

Wazee huwa hatujiulizi mara mbili mbili kwamba utakula nauli ama utakuja, ikitokea umekula nauli huwa tunatuma nyingine πŸ€ͺ
Oyoooooo!! Babu km babuuu
Nasemaje Nasemaje
Wazee wote peponi moja kwa moja 😍😍
 
Hahahaha..............Ila nyie wenye Sura za Baba, ndiyo wazuri maana historia inaonesha hamna tabia ya kula nauli πŸ€—
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Tunakula tu na hata tukija tunajua utakimbia mwenyew stendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…