Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Huo ni unabe grade A 😂Uje sasa pm 😂Matajiri huwa hawakazii nishakuelewa tajiri 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni unabe grade A 😂Uje sasa pm 😂Matajiri huwa hawakazii nishakuelewa tajiri 🤣🤣
Hahaha....................ukila nauli nakutumia tena, Kwanza Wazee tunamsemo wetu kuwa "Mkulima hachagui jembe"😀😀😀Tunakula tu na hata tukija tunajua utakimbia mwenyew stendi
😀😀DahHahaha....................ukila nauli nakutumia tena, Kwanza Wazee tunamsemo wetu kuwa "Mkulima hachagui jembe"
Ukiwa na Sura ya Baba, nachukua taulo nakufunika usoni, mengine tunaendelea 🏃🏃🏃
Sasa hao ni wanaume au wale jamaa zako pendwa?Bora Face app na snap, ila photo lab hata kuiona sitakiiii.
Iko too fakee, afu kujua kuwa sio halisii ni dkk chee tyuuu.
Ajabu na wanaume wanatumia pia. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii comment ameiandika Firstborn wangu Mjukuu, maana tunakawaida ya kutumia simu moja 😅😅🏃🏃🏃😀😀Dah
Hahhahah WWE apo kwani mwanaume 😂😂 njoo tuonanie mbezi apaNdo muambie muonane mbezi hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakutumia no ya Lipa ipokee pm kwakoUtanipa maelekezo ya wapi nikutumie 🤪
Bila shaka Mjukuu, Wazee hatuna shida 🤗Nakutumia no ya Lipa ipokee pm kwako
🤣🤣🤣Huo ni unabe grade A 😂Uje sasa pm 😂
Ntakupiga unanchora 😂🤣🤣🤣
Chap kwa haraka tajiri
Nakuchoraje tena tajiri 😂😂Ntakupiga unanchora 😂
Hii imeenda mkuu. Njia rahisi ni kupiga video call ili ujionee mzigo live bila chenga. Tumechoka kuuziwa mbuzi gunianiNdugu watoto wakiume, wavulana, vijana na wanaume wote bila kusahau wazee wetu wanaume
Nawasalimu nyote kwa Jina la Jamuhuri ya wana JF.
Na wote tuseme JF idumu milele.
Ndugu zangu ujio wa app ya photo lab upo mjini na wale wazee wa kuview mapicha picha pamoja na kutumiwa picha tuweni makini sana tujitahidi kuonaa na watoto wa kike, mabinti pamoja na wanawake ana kwa ana (uso kwa uso) na siyo kutegemea kutumiwa picha ndugu zangu.
Teknolojia imekua na kila siku kuna ujio wa vitu vizuri vizuri ili kurahisisha maisha na kupendezesha dunia.
Ujio wa app ya photo lab umefanya picha za wanawake ziwe nzuri zaidi hivyo tujitahidi pia kukutana nao uso kwa uso kabla ya kuanza kuwekeza akili huko.
Naomba kuwasilisha.
NjooNakuchoraje tena tajiri 😂😂
Nimefika mbona sikuoni 🤣🤣Njoo
Si umeamua sawaNimefika mbona sikuoni 🤣🤣
Tajiri unafeli, sikuoni unanichomesha mahindi 🤣Si umeamua sawa
Ntakuzingua 😂Tajiri unafeli, sikuoni unanichomesha mahindi 🤣
🤣🤣🤣🤣Kwa mlivyokua wataalam wakubuni mmbo haifeli😁😁😁😁
Tunafanya yote kwa ajili yenu🤣🤣🤣🤣Kwa mlivyokua wataalam wakubuni mmbo haifeli