Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Huu uzi ni uzushi mtupu, mbona sijaona picha yoyote toka huko lab?

Tumeni picha turhibitishe. Wazee wa loose balls tusijeingia pasipo🤣
 
Unapika nini laaziz [emoji1787][emoji1787]
Tutakula vyakula vibichi leo
Kuku wa kukaanga, pilau, na mapochopocho mengine

Unajua nimekulia uswahilini kuku tulikua tunakula sikukuu tu, nikasema nikiwa mkubwa nitakula sana kuku mpaka wakiniona wakimbie[emoji23]
 
Kuku wa kukaanga, pilau, na mapochopocho mengine

Unajua nimekulia uswahilini kuku tulikua tunakula sikukuu tu, nikasema nikiwa mkubwa nitakula sana kuku mpaka wakiniona wakimbie[emoji23]

Emu tuone km unajua kupika chugga man [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Emu tuone km unajua kupika chugga man [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimefundishwa na kyuti. Fundi sana yule[emoji1787][emoji1787]
Ila sijui kwa nn kuku hata umpike vipi bado anakua mtamu
Screenshot_20230922-223044_1.jpg
 
Back
Top Bottom